Barabara ya Usagara Kisesa yaanza kujengwa

Barabara ya Usagara Kisesa yaanza kujengwa

Hii bararbara imefia wapi? Naona majengo ya Tanroad wanakaa walinzi tu.
Nimepita wiki iliyopita maeneo ya kisesa kuelekea kona ya fella. Nilikuta mitambo ya nyanza roads ipo barabarani. Nadhani wanataka ku 'resume' ujenzi wa barabara uliosimama kwa takribani mwaka mmoja sasa
 
Back
Top Bottom