Kisoda2
JF-Expert Member
- May 30, 2008
- 2,475
- 745
Kuna tetesi juu ya ujenzi wa hii barabara kwamba hautaanzia Morocco kama ilivyoelezwa hapo awali badala yake utaanzia Mwenge hadi Tegeta Wazo kwa kiwango cha njia mbili.
Sababu eti kutoka Morocco hadi Mwenge kuna NYUMBA zimejengwa BARABARANI,hivyo kipande hicho kitaendelea kubaki kama kilivyo.
Wadau hii kweli yaweza kuwa sababu ama kiini macho??
Sababu eti kutoka Morocco hadi Mwenge kuna NYUMBA zimejengwa BARABARANI,hivyo kipande hicho kitaendelea kubaki kama kilivyo.
Wadau hii kweli yaweza kuwa sababu ama kiini macho??