Barabara ya King'ongo ni kama imerogwa vile

Barabara ya King'ongo ni kama imerogwa vile

Abelsabuni

Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
15
Reaction score
4
Kama kuna mhusika humu naomba alibebe hili. Ni kwamba hii barabara ina kilomita chache sana ambazo sidhani kama zinafika 10 lakini miaka yote ni bora hata ya kijijini na ukizingatia mamia ya magari yanayopita hapa kwa wiki.

Ni barabara kubwa tu ambayo inaunganisha njia kuu za kutokea Salasala, Tegeta, Mwenge, Bagamoyo na hata mkoani. Kwahiyo kumbe inapunguza foleni na kuokoa muda. Ningekuwa Dikteta mimi ningeamuru wananchi wanaoishi na kuwekeza kwenye hii barabara waiweke zege au wahame!

Fikiria nje ya benki pamejaa mimaji na matope. Anyway, wanaaendelea kuweka zege kutokea njiapanda lkn inasemekana wataishia msikiti mdogo, kwaninii?
 
Hiyo nayo ni barabara au uchochoro?
Huko mnaishi makapuku tu
Akili huna wewe hivi kimara unaijua au unaushia kuropoka upate mme humu?????? Makapuku kinara? Kuwa na aibu na fanya research.....wewe tajiri uchwara sasa umejigarantee hata kifo umenunua uhai wa kudumu hautakufa? Mijitu mingne jmn NA UKIFUATILIA NI LILIMBUKENI TU LIMEPATA KAUNAFUU LIKIWA NA UMRI MKUBWA
 
Akili huna wewe hivi kimara unaijua au unaushia kuropoka upate mme humu?????? Makapuku kinara? Kuwa na aibu na fanya research.....wewe tajiri uchwara sasa umejigarantee hata kifo umenunua uhai wa kudumu hautakufa? Mijitu mingne jmn NA UKIFUATILIA NI LILIMBUKENI TU LIMEPATA KAUNAFUU LIKIWA NA UMRI MKUBWA
Usitokwe povu haujazungumzia Kimara generally umezungumzia King'ong'o yani wewe na wote mnaoishi huko ni MAKAPUKU na haipingiki.

Vumbi hilo hamjaanza kula jana na mtalila sana Matosa na King'ong'o wote MAKAPUKU
 
Usitokwe povu haujazungumzia Kimara generally umezungumzia King'ong'o yani wewe na wote mnaoishi huko ni MAKAPUKU na haipingiki.

Vumbi hilo hamjaanza kula jana na mtalila sana Matosa na King'ong'o wote MAKAPUKU
Ngoja nikuache manake nakufaham ni mwehu japo hunijui na hujui nakufaham half huna jipya lolote na ukizungumzia mabosi wa kimara
 
Sina time na ilo pepo ambalo halijielew misifa ya kijinga wenye hadh ya kuongea wametulia....HILI JUKWAA WENG WAS
Usipaniki mkuu, mambo ya kawaida hayo si unajua jf kila mtu mshua ana drive ndinga Kali.....BTW sisi makapuku wa kingongo tushaizoea hiyo barabara tunaishi nayo hvohvo
 
Usipaniki mkuu, mambo ya kawaida hayo si unajua jf kila mtu mshua ana drive ndinga Kali.....BTW sisi makapuku wa kingongo tushaizoea hiyo barabara tunaishi nayo hvohvo
Cha ajabu makapuku wa king'ongo wapo wengi tu magar yao wamesajili private number (kwa majina yao) INAPENDEZA SANA
 
Back
Top Bottom