Barabara ya Kimara upana ndio huo?

Barabara ya Kimara upana ndio huo?

Shetemba

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2018
Posts
955
Reaction score
984
Moja kwa moja ndani ya hoja kuu,

Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
 
Moja kwa moja ndani ya hoja kuu.
Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Hiko chama ni cha kishetani na mambo ambayo huwa wanayafanya ni ya ukichaa kichaa.......

Kama ambavyo alivyojitanabaisha Mwenyekiti wao wa Chama kule mkoani Mara
 
Hiyo itakuwa awamu ya kwamza. Nyumba zilibomolewa kwakuwa zilikuwa ndani ya hifadhi ya barabara na pia kuepuka watu kuendelea kujiimarisha kwa kujenga na kuwekeza hifadhini. Hii pia ilikusudiwa kuepuka usumbufu mara serikali inapohitaji kufanya upanuzi isilazimike kubomoa kila wakati lakini kubwa ni kuwafanya watu watii sharia
 
Samahani mkuu hiyo Kimara iko wapi katika Jamhuri yetu hii ya Muungano wa Tanzania?

Barabara ya Kimara:Upana ndio huo?
Mkuu kajisalimishe uhamiaji mapema maana uwenda siyo mkazi wa Janhuri hii ya TZ.
Kimara iko Dar wilaya ya Ubungo. Kuna KImara Suka Kimara kwa Msuguri, Temboni na Kimara Stop over vile vile.
 
Moja kwa moja ndani ya hoja kuu.
Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
si umesema hakuna kibao chochote kinachoonyesha upana? sasa wewe umejuaje kama itakuwa nyembamba au nene? au hujasikia kuwa ni njia nne? shenziii
 
Nasikia eti sisi wa Kimara tunakomolewa kwakuwa wengi tunatokea ile kanda isiyopendwa
 
Back
Top Bottom