Barabara ya Kimara upana ndio huo?

Barabara ya Kimara upana ndio huo?

Moja kwa moja ndani ya hoja kuu.
Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Labda eneo lililobaki litapandwa maua
 
Moja kwa moja ndani ya hoja kuu,

Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Uwii.mbn povu asee.ko walikurupuka
 
Hiyo itakuwa awamu ya kwamza. Nyumba zilibomolewa kwakuwa zilikuwa ndani ya hifadhi ya barabara na pia kuepuka watu kuendelea kujiimarisha kwa kujenga na kuwekeza hifadhini. Hii pia ilikusudiwa kuepuka usumbufu mara serikali inapohitaji kufanya upanuzi isilazimike kubomoa kila wakati lakini kubwa ni kuwafanya watu watii sharia
We ndo msemaji wa serikali eti
 
Watu wanaishi maisha ya ajabu bwana waliobomolewa karibu wote wako magohe wenye pesa kidogo makabe, goba, na tegeta A
 
Zimevunjwa nyumba zilizopo ndani ya hifadhi ya barabara na si kupisha upanuzi wa barabara. Jaribu kuelewa
 
Weka picha wengine kimara hatupajui
Hiyo
sketch-1538412676166.jpg
 
si umesema hakuna kibao chochote kinachoonyesha upana? sasa wewe umejuaje kama itakuwa nyembamba au nene? au hujasikia kuwa ni njia nne? shenziii
Nimeuliza kutokuweka kibao ni sheria povu
La nini mnyarugusu
 
Angalieni kiduchu kilichoongezwa kwenye sketch
sketch-1538412676166.jpg
 
hata mimi nilitaka
Moja kwa moja ndani ya hoja kuu,

Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
hata mimi nilitaka nifahamishwe inamaana pale ndio barabara sita ndio zinaanza kujengwa ama
 
Back
Top Bottom