Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
Sasa tusi liko wapi apo mkuu
Hiyo quote siyo tusi kweli!
I advise you to look back into yourself and try not to offend people, that's a cyber bulling.
Sasa tusi liko wapi apo mkuu
KHiyo quote siyo tusi kweli!
I advise you to look back into yourself and try not to offend people, that's a cyber bulling.




Mkuu kajisalimishe uhamiaji mapema maana uwenda siyo mkazi wa Janhuri hii ya TZ.
Kimara iko Dar wilaya ya Ubungo. Kuna KImara Suka Kimara kwa Msuguri, Temboni na Kimara Stop over vile vile.
Tujifunze kuwa na subra acheni kukurupuka! Hayo ni maandalizi tuMoja kwa moja ndani ya hoja kuu,
Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Mkuu kajisalimishe uhamiaji mapema maana uwenda siyo mkazi wa Janhuri hii ya TZ.
Kimara iko Dar wilaya ya Ubungo. Kuna KImara Suka Kimara kwa Msuguri, Temboni na Kimara Stop over vile vile.
Mkuu ukitoka Temboni kituo kinachofuata kabla ya kufika kibanda cha mkaa kuelekea mbezi kinaitwaje???????😛😛😛😛Hakuna Kimara kwa Msuguri, nawe pia inawezekana sio MTZ![]()
Mkuu kwani hoja hapa ni hifadhi ya barabara😳😳😳😳😳Kwahiyo wewe hujawahi kuona hizo beacons zinazonyesha mwisho wa hifadhi ya barabara?
Nimecheka kwa kweli loh 😂Bwàna yule anajua jografia ya watu wote waliompigia kura
Mbezi kwa msuguri sio kamara kwa msuguri,Mkuu ukitoka Temboni kituo kinachofuata kabla ya kufika kibanda cha mkaa kuelekea mbezi kinaitwaje???????😛😛😛😛

Mbezi kwa MsuguriMkuu ukitoka Temboni kituo kinachofuata kabla ya kufika kibanda cha mkaa kuelekea mbezi kinaitwaje???????😛😛😛😛
Kwani huko kimara walimchagua nani wakati wa uchaguzi mkui 2015?Moja kwa moja ndani ya hoja kuu,
Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Bango lipo labda wewe hujalitafuta lipo pale kwenye round about ya kimara upande wa kushoto kama unaelekea Kibaha, hivyo jifunze kufanya utafiti kabla ya kuandikaMoja kwa moja ndani ya hoja kuu,
Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Nikipita apo badae nikiliona ntapiga pichaBango lipo labda wewe hujalitafuta lipo pale kwenye round about ya kimara upande wa kushoto kama unaelekea Kibaha, hivyo jifunze kufanya utafiti kabla ya kuandika
labda walikuwa wanamuwinda Gwajima ila nguvu ya Mungu imewashinda,halafu wakataka kuanzisha bifu na wana ubungo kimara cz walichagua upinzani ila baadaye wakaona kule kuna wasomi na wajanja wengi hvy bifu lingeendelea tu,wakaamua kuahirisha yote,hii ni serikali mrupukoMoja kwa moja ndani ya hoja kuu,
Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Ahsante mkuuMbezi kwa msuguri sio kamara kwa msuguri,![]()
Ahsante mkuuMbezi kwa Msuguri