Barabara ya Kimara upana ndio huo?

Barabara ya Kimara upana ndio huo?

Mkuu kajisalimishe uhamiaji mapema maana uwenda siyo mkazi wa Janhuri hii ya TZ.
Kimara iko Dar wilaya ya Ubungo. Kuna KImara Suka Kimara kwa Msuguri, Temboni na Kimara Stop over vile vile.
Ile ni barabara ya Morogoro kwa sehemu ya Kimara na Mbezi.
 
Moja kwa moja ndani ya hoja kuu,

Nauliza ni sheria gani kwa mkandarasi kujenga barabara bila ya kubandika bango lolote?
Mbili; kwa upana ule kulikuwa na haja gani ya kubomoa nyumba nyingi
Kiasi kile .na hali barabara yenyewe inayoongezwa haifiki hata mita kumi upana
Upana wa barbr ya morogoro Dsm. Kanuni ya 29 ya kanuni za brbr zilizotungwa na Waziri wa miundombinu Mh. Shukuru Kawambwa mwaka 2009.
Roads rwgulations GN 21 of 2009.jpeg
 
Kimara,mbezi kooote ni empire ya wakaskazini..
So kwakuwa ni ngome ya chadema na ukawa kwa ujumla,.. Chichiem imeamua kuwanyooosha...
Ccmm chama cha mashetani
 
Back
Top Bottom