Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
Barabara ya Kilwa ni Bomu kabisa!!!!
(From Michuzi)
Barabara hii iliyozinduliwa hivi majuzi ina kila aina ya ubovu wa kitaalam.
Barabara hii imeanza kubonyea sehemu mbali mbali.
Barabara haina mabango ya kuonyesha alama za barabarani.
Katika picha hii jamaa mwenye lori kakatiza katikati ya mduara wa kuongozea magari. Hii ni kutokana na mapungufu makubwa katika usanifu na ujenzi wa barabara hii.
Tunajiuliza hivi Miundo mbinu na taasisi zake zilikuwa wapi wakati ujenzi wa barabara hii yenye mapungufu makubwa ukifanyika?
Ukilinganisha barabara hii na nyingine zilizojengwa na kampuni ya KONOIKE zaidi ya 10 hadi 15 iliyopita utajua kinachoongelewa hapa.
Barabara hii haina hata miaka mitau kukamilika na ina matatizo ya kukatisha tamaa.Itadumu miaka mingine 10?
(From Michuzi)
Barabara hii iliyozinduliwa hivi majuzi ina kila aina ya ubovu wa kitaalam.
Barabara hii imeanza kubonyea sehemu mbali mbali.
Barabara haina mabango ya kuonyesha alama za barabarani.
Katika picha hii jamaa mwenye lori kakatiza katikati ya mduara wa kuongozea magari. Hii ni kutokana na mapungufu makubwa katika usanifu na ujenzi wa barabara hii.
Tunajiuliza hivi Miundo mbinu na taasisi zake zilikuwa wapi wakati ujenzi wa barabara hii yenye mapungufu makubwa ukifanyika?
Ukilinganisha barabara hii na nyingine zilizojengwa na kampuni ya KONOIKE zaidi ya 10 hadi 15 iliyopita utajua kinachoongelewa hapa.
Barabara hii haina hata miaka mitau kukamilika na ina matatizo ya kukatisha tamaa.Itadumu miaka mingine 10?