Kuna haja ya kuchunguza usanifu na ujenzi wa hii barabara....kuna kitu hakiko sawa mahala fulani.
Kuna haja barabara hii kufanyiwa Technical Audit kuthibitisha viwango vyake!!
tena kamati itayofanya Technical Audit iwe na watu kama
1.Lole Gwakisa
2.Mkuu Webby (Waberoya)
3.Roya Roy
4.Morani75
5.Mkuu Fundi Mchundo aka "Uwiano Usio Maalum"
6.Robot (Invisible)