Wakuu wangu hapa kwtu pia ipo. ukienda lushoto kutokea mombo mambo ni hayo hayo. tufanye utalii wa ndani jamani.
nakubaliana na wewe. nimepita juzi mpaka nafika Shinyanga namuuliza mwenyeji wangu mbona sijapaona Sekenke.Dr John Pombe Magufuri aliitengeneza vizuri sana sekenke kwa kuchonga bara bara sehemu nyingine. Siku hizi usiambia na mtu kuwa hapa ni mlima wa sekenke, huwezi hata ukajua.