Maji yamepunguaHali kwa hiyo bado tete??
Mandera darajani maji yamepunguamliopo eneo la tukio tunaomba updates kwa sisi tulio njian kuja eneo hilo..nn kinaendelea?
Mandera darajani maji yamepungua
Inashangaza kuona hakuna chombo cha habari chochote kilichotoa taarifa hii, ikiwa ni pamoja na kutoa tahadhari kwa wasafiri wengine wanaotumia barabara hizo
Tupo bize na dreamlinear.
Miundombinu kwa key areas mibovu. Aibu sana.
Kwa sasa uko wapi mtoto mzuriNilikua Moshi naona Kuna ajali ya gari la gesi maneo ya maimoria hongera kwa jeshi la zima mito Moshi wako on point
wakikujibi nitagBarabara nyingi zilizojengwa 2010-2015 ziko chini ya kiwango kabisa. Wakati huo ndio 10% ilipanda daraja na kuwa 20%.
Sijui nani alikuwa mwenye dhamana ya barabara!
Kwamba helicopter inatua mjini mjini tuPangekuwa ni mjini mjini unapeleeka helicopter kuvusha wenye haraka kisha wanapanda gari nyingine na kuendelea na safari.
Hukosi millioni kadhaa.
Changamoto ipoThanks for updates..hope ndugu zetu watafikia salama
Mkuu kumbe ni wewe nimekuona mitaa hiyoChangamoto ipo
Magari yameweka mistar 3
Yaaani ni tabu sana,Polisi wana kibarua sanaView attachment 1245518View attachment 1245519
Dah! Sasa government nafikiri kuna kitu cha kujifunza.Nasikia na hii pia haipitiki.
HahahaaaaaaMkuu kumbe ni wewe nimekuona mitaa hiyo
View attachment 1245534