Mfilisti
JF-Expert Member
- Sep 24, 2015
- 3,727
- 19,465
ingesaidia kwa kiasi kikubwa wasafiri wengine wakatafuta njia mbadala kulikoni kwenda kujazana hukoKwani hizi habari zinaleta sifa na utukufu?
ingesaidia kwa kiasi kikubwa wasafiri wengine wakatafuta njia mbadala kulikoni kwenda kujazana hukoKwani hizi habari zinaleta sifa na utukufu?
Hali kwa hiyo bado tete??Gari nyingi zimelala Korogwe pale stand..kimsingi njia hazipitiki,siyo ya kupitia handeni wala ya kunyoosha kwenda segera!
Mvua bado inakunya..hata muda huu bado inashuka tena kubwa..bado sijaona juhudi za serikali kwenye hili suala..au kwakua barabara hatutumii sana mko busy na anga..? Hawa wanyonge mnawazungumzia kila siku hawa watumia barabara mnatusaidiaje?
Hizi habari sio za kusifu na kuabudu ndo maana hazionekani kwenye media.Gari nyingi zimelala Korogwe pale stand..kimsingi njia hazipitiki,siyo ya kupitia handeni wala ya kunyoosha kwenda segera!
Mvua bado inakunya..hata muda huu bado inashuka tena kubwa..bado sijaona juhudi za serikali kwenye hili suala..au kwakua barabara hatutumii sana mko busy na anga..? Hawa wanyonge mnawazungumzia kila siku hawa watumia barabara mnatusaidiaje?
Kuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.
Kip cha ajabu?waliotoka Dar-Arusha na wa Arusha-Dar wote wamelala njiani wanasubiri madaraja yatengenezwe
Barabara nyingi zilizojengwa 2010-2015 ziko chini ya kiwango kabisa. Wakati huo ndio 10% ilipanda daraja na kuwa 20%.hivi barabara kumbe zinajaaga maji.....
Hii nayo nasikia kwishney kwa mafuriko/maji.Ipo barabara ya handeni unatokea mkati. Kwa wanaotoka arusha dar or dar arusha, au tanga arusha au arusha tanga.
Ukitoa miundombinu mibovu labda, natural calamities huwa haziepukiki.
Unamchokonoa Mungu kwa mlingot manBarabara nyingi zilizojengwa 2010-2015 ziko chini ya kiwango kabisa. Wakati huo ndio 10% ilipanda daraja na kuwa 20%.
Sijui nani alikuwa mwenye dhamana ya barabara!
Miaka 70 ya uhuru bado miundombinu ya barabara inasumbua.
Kuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.