Kwa hiyo unatuambia sisi kwani sisi ndo tumeleta mvua? Au unataka tuje tuyanywe hayo maji ili nyie mpite? Wazigua mna tabu sana nyieKuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.

Kwa hiyo unatuambia sisi kwani sisi ndo tumeleta mvua? Au unataka tuje tuyanywe hayo maji ili nyie mpite? Wazigua mna tabu sana nyieKuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.

Mashewa nikifika Mara moja. Kwa jinsi kulivyo na hizi mvua, Mungu awasaidie Sana .Baada ya kuusoma uzi huu nikajikuta nawakumbuka ndugu zangu walioko Tanga mashewa...Habar n mbaya nilizo zipata zaidi ya watoto wa 5 wamekufa maji...Huzuni sana...Ila wapo watu hufurahia hii hali
Dereva wa hiyo bus ya TAHMEED Ni mpumbavu Sana.
Na abiria wote mule ndani ni pumbavu mno any way dumb ways to die ni kama hizoDereva wa hiyo bus ya TAHMEED Ni mpumbavu Sana.
hatari sanaNa abiria wote mule ndani ni pumbavu mno any way dumb ways to die ni kama hizo
Nilikua Moshi naona Kuna ajali ya gari la gesi maneo ya maimoria hongera kwa jeshi la zima mito Moshi wako on point
Hapana. Kwamba watakaovushwa na helicopter watahitaji usafiri mwingine, na kama ni karibu na mjini inakuwa rahisi magari mengine kuja kuwabeba waliovushwa.Kwamba helicopter inatua mjini mjini tu
Nimeona na dereva wa basi la simba nae kaliingiza basi kibishi likazama kwenye korongo kisa kujifanya ujuaji mwingi hawa madereva sijui tuwaelimishe vipi kuwa mataili yana upepo yakiwa kwenye maji yanaelea shida wengi shule hamna so a simple physics theory wanashindwa kuijuahatari sana