Mangi Mlay
JF-Expert Member
- Dec 18, 2016
- 5,743
- 7,087
Pale yupo Gondwe na unajua alivaa manguo ya Jeshi akaenda pale na mbwembwe kibao na akasema washarekebisha sasa wanaogopa wakiripoti watamuharibia mdau wao wa habatiInashangaza kuona hakuna chombo cha habari chochote kilichotoa taarifa hii, ikiwa ni pamoja na kutoa tahadhari kwa wasafiri wengine wanaotumia barabara hizo