Bado wapo njiani wanajeshi ndio wanajaribu kutafuta njia mbadala...kuna ndugu yangu katoka arusha leo asubuhi amekwama hapo korogwe wameambiwa daraja karibu na Muheza limetitia kutoka na maporomoko
Hadi niandikapo ujumbe huu saa mbili kasoro kumi bado wapo korogwe na wameambiwa huenda wakalala hapo.
Ninaomba kama kuna mwenye taarifa za ziada kuhusu hili aweke hapa...
Wakome kuwachagua MatagaKuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.
hivi barabara kumbe zinajaaga maji.....Kuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.
Mpaka sasa bado hakupitiki?Bado wapo njiani wanajeshi ndio wanajaribu kutafuta njia mbadala
waliotoka Dar-Arusha na wa Arusha-Dar wote wamelala njiani wanasubiri madaraja yatengenezweMpaka sasa bado hakupitiki?
Nimekasirika kinoma nimeamka sa kumi usiku kujiandaa na safari ya arusha nimefika msamvu ndo nimekuta hakuna gari ya arusha , mpaka daraja litakapo tengenezwa au kulipa 40,0000 kuzungukia dodoma nimerudi zangu nyumbaniKuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.
Na Dar-Tanga jana ilikuwa haipitiki pia, leo vipi?waliotoka Dar-Arusha na wa Arusha-Dar wote wamelala njiani wanasubiri madaraja yatengenezwe
bado hali ni hio hio mpaka daraja litengenezweNa Dar-Tanga jana ilikuwa haipitiki pia, leo vipi?
Tujuzane ikiwa freshKuna Magari yamekwama huko kutokana na barabara kujaa maji. Sijaona chombo chochote kimeripoti au wameshawachoka.
Ipo barabara ya handeni unatokea mkati. Kwa wanaotoka arusha dar or dar arusha, au tanga arusha au arusha tanga.waliotoka Dar-Arusha na wa Arusha-Dar wote wamelala njiani wanasubiri madaraja yatengenezwe
Nasikia na hii pia haipitiki.Ipo barabara ya handeni unatokea mkati. Kwa wanaotoka arusha dar or dar arusha, au tanga arusha au arusha tanga.
Ukitoa miundombinu mibovu labda, natural calamities huwa haziepukiki.
Barabara hii pia iliharibika na magari yote yalilazimika kurudiIpo barabara ya handeni unatokea mkati. Kwa wanaotoka arusha dar or dar arusha, au tanga arusha au arusha tanga.
Ukitoa miundombinu mibovu labda, natural calamities huwa haziepukiki.