tamimusalim
JF-Expert Member
- Jun 17, 2014
- 1,822
- 499
Serikali inafikiria kuipa sekta binafsi barabara Dar kwenda Chalinze kuijenga upya ,kwa mujibu ya muheshimiwa Omari Issa anayehusika na uwezeshaji na utekelezaji ofisi ya rais kama alivyoongea na kituo cha ITV katika kipindi cha dakika 45, alisema sekta iyo binafsi itapewa dhamana ya kukusanya pesa kwa magari yatakoitaji kupita katika barabara iyo ya kisasa itakayojengwa.