Watu wengine...??? Eti hata ulaya wanalipia!
Ndiyo, lakini kunakuwepo njia mbadala za kufika huko. Je, hali iko hivyo hapa bongo na hususani kwa bara bara hiyo? Je, wataweka option hiyo?
Mipango mingi utekelezaji sifuri. Yale mliyoa ahidi 2010 yamewashinda
Yale mliyokubaliana kama mipango ya Taifa 2015 hola
Yale ya 2025 implementation startegies/ preparations zero!
Kigamboni, zero!
Mipango miji Dar, sifuri
Maji mijini na kijijini sifuri
Bandari ya Bwagamoyo, sifuri
Bandari ya D'salam hola
Reli ya kati chali.... na barabara zinabomoka kwa sababu ya malori mengi kila leo mnashusha malori mapya!
Viwanja vya ndege vya kimataifa Kigoma, vipi status?
Huduma bure kwa wazee, hali ikoje?
Elimu je? au ndo mpango wa kupanua gori (BRN) ili hata kipofu (sorry) naye afunge gori???
Vipi kilimo kinacho beba watanzania over 80%, hali ikoje kwa maana ya upatikanji wa Matreacta na zana za umwagiliaji??!
Mipango ... mipango tu mdomoni! Sihasa hizi!? Shkuruni watanzania mliwanyima elimu hawajitambui!