Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Kino pameoza jamani.Sahemu zote nitakaa ila sio kule! Japo Magomeni nako si salama kihivyo ila afadhali.

ndo kwetu huko nilikokulia ila toka mume wangu hataki ht askie nimeenda kusalimia marafiki
na hv mdingi kahamia nje ya mji
weeee...nna miaka km miwili sijatia maguuu..
na mwakani nahamia dodoma rasmi
dar bwana hasa kino clan maluuni watupu

mi naijua vizuri kino clan
 
Feri c kijiti n unga ndio mahala pake kwahiyo alikua anaenda kununua n kupuliza hko beach....kipindi hicho redio iko downtwn

Haa haa haa umechanganya madesa wewe!... kipindi hicho hakuna cha mawingu wala nguvu ya wa2... bibie anahustle maisha ya bongo daslaam, huku na huko hakieleweki aku akaona akajipunguzie stress za maisha! cha kufia!
 
Haa haa haa umechanganya madesa wewe!... kipindi hicho hakuna cha mawingu wala nguvu ya wa2... bibie anahustle maisha ya bongo daslaam, huku na huko hakieleweki aku akaona akajipunguzie stress za maisha! cha kufia!

Inamaana b4 hajaanza kutangaza alikua msele w feri duuuh wa2 wametoka mbali sana.......kwani alikua anaishi wapi mpka afuate msuba feri c mtaani kwao
 
Mhhhh! Dunia ina mambo hii? Nilimchukia sababu ya usagaji wake.Sipendi watu wanaomkufuru Mungu kwa kufanya mambo kinyume na jinsia zao.

Hebu nidakishe mwenzangu hata sijui! Kumbe Uwoya naya mkoboaji?

poleee hujui eeeh
na analiwa tigo hatariiiii
ndo mana hbaba alitoka ndrukiiiiiiiiiiiii
 
Kweli kuna watu wazito sijapata kuona.Sasa ile sheria ikishaanza kufanya kazi utaambulia kitu kweli?
Maana utakua ni mwendo wa mafumbo tu....

Umeonaa nifah eeh.. We m2 haiwezekani utafuniwe had mfupa ushindwe kumeza,...unaeza ukahisi huyu muulizaji anatoka kishmundu!! Kha!
 
Last edited by a moderator:
Njia ni hiyohiyo nimuulizia kinyai...ya ndio nlimuona anakata mauno hatari kma feni.hivi huwa ana mtoto kijana yule

Doohhhh!!! Mie nilikuwa namuongelea mwingineeeee
Nasikia ana mtoto wa kike, (umbea from Insta)

Kuna moja maarufu sana,ndio nilikuwa namsemea huyo.
 
ndo kwetu huko nilikokulia ila toka mume wangu hataki ht askie nimeenda kusalimia marafiki
na hv mdingi kahamia nje ya mji
weeee...nna miaka km miwili sijatia maguuu..
na mwakani nahamia dodoma rasmi
dar bwana hasa kino clan maluuni watupu

mi naijua vizuri kino clan

Jamani mbona mwatusema vibaya?
Mie nimezaliwa, nimekulia, nimesoma na bado naishi Kino....au ndo mana nimekuwa mmbea sana.
Ngoja nihamie Migo.
 
Doohhhh!!! Mie nilikuwa namuongelea mwingineeeee
Nasikia ana mtoto wa kike, (umbea from Insta)

Kuna moja maarufu sana,ndio nilikuwa namsemea huyo.

Hahaaa mi namsemea huyu mangi mana mambo aliyokua anafanya n hatari mana hiyo meza yao walikua mchicha mwiba 4....yani acha 2 kweli kino kuna majanga
 
Inamaana b4 hajaanza kutangaza alikua msele w feri duuuh wa2 wametoka mbali sana.......kwani alikua anaishi wapi mpka afuate msuba feri c mtaani kwao

amesoma zanaki yule ndo maana alikua muhuni wa mjini
 
Jamani mbona mwatusema vibaya?
Mie nimezaliwa, nimekulia, nimesoma na bado naishi Kino....au ndo mana nimekuwa mmbea sana.
Ngoja nihamie Migo.

hhhahaawwa huko migo na kino ngoma draww
best njoo mabwe pande au kwetu chanika ukishindwa kibadaa
 
huyo huyo best....
baadae wakawa haziivi
kuna siku rafki etu mmoja alimtania akamuita f na kwa jina la yule weeeee
alicharuka huyoo na akatukomesha

Mngemtia nakosi...mie nisingekubali.
Mango garden wameniruhusu kuingia juzijuzi tu hapa...nilianzisha mtiti almanusura tuuze nchi.
Hivi vidada dada vya kuja vinajifanya vinajua sana kuliko sie wazawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom