AHahah navutia picha ya flampen na makalio ya wolper, yan watu wana maneno khaa
UKipewa pesa je
Huyu dada D mbona huwa anajiweka kama mtu mmoja mstaarabu, classic na aliyepevuka...mmh kama kweli shughuli.Ila Clouds wamezalisha mashoga na wasagaji.
Kuna account Insta nasikia inamilikiwa na dada D....yaani ni full kunyonyana maziwa KE kwa KE...uwiiiiiii.....
Mhhhhhh!
Khaaa! Instagram kuna uchafu jamani ndio maana siipendi sana.
Wasichana wengi wameharibika na wengine wanaelekea hukohuko maana kuna wasagaji wengi sana.
Laaanakum!!!!!
HAhahah binamu funguka bhna mwenzio mafumbo siwezi ivoo, unanitesa ujue?
Laanakum apewe huyo mkoswa uso.
Madam b we kiboko yani umenipasua mbavu zangu balaaa kwa kicheko!...huyo mdada enzi hizo bhana mitaa ya feri na ki2 ya arusha a.k.a. Bangi nibangue!
Huyu dada D mbona huwa anajiweka kama mtu mmoja mstaarabu, classic na aliyepevuka...mmh kama kweli shughuli.
Madam huyo bibie D c kaolewa huyo au mshedede haumtoshi
Yaani account za wasagaji insta ni nyingi sana ukilinganisha na za mashoga.
Yaani utakuta iko private..ukimfollow kisha ukajitoa, anakujia chemba kukuomba urudi.
Hayo magroup ya kutombuana na kufiruana ndo yamejaa Mungu hapendi!!!!
Yaani Insta kuna uchafu mwingi sana.
...Umbea, kuna group la wanaojifunza kubeba unga, mie nilishangaa.
warumi unalijua hili au umbea wako unaishia Mataa ya Fire tu?
Tena asikudanganye mtu, walioko kwenye ndoa ndio wanaoongoza kwa kufanya ufirauni, ukimuuliza atakanusha kwa kisingizio kuwa ye yuko ndoani hivo hizo ni porojo tu.
Unakumbuka kesi ya Nyota Waziri?
Kanogewana na penzi la mwanamke mwenzie mpaka kavunja ndoa yake na mzee Njenje.
Nashangaa....kaogelea sana ndani ya yale maboti ferry,...afu leo anasema eti hajui uchungu wa labour, labda kama mateja wenzie walikuwa hawadindishi.
Mhhhh! Hayo magroup ni kwa wenye insta messages naona maana mimi hata silijui hilo.
Labda sababu siko interested sana baada ya kuona uchafu umezidi.