Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Bar ya Lady Jaydee kufungwa, mwenyewe afunguka

Lakini binamu mimi simlaumu Jide kwa hayo maana ulitaka amkumbatie Gardner biashara iende vizuri huku moyoni hana amani?
Au aendelee kuwakumbati clouds huku moyoni akijua kwamba ni wanafki na wanachuki nae?
Kwangu AMANI YA MOYO naipa kipaumbele kuliko chochote.Naamini Jide hatoshindwa atasimama tu.

Unajifanya unampenda jide kuliko mm? Aya bwana poa nimekusoma, Amani ndio kila kitu aseh
 
Huyo Jide hana lolote, aseme tu kafulia watu tutamuelewa.
au labda mzungu wake anamtaka afunge biashara amfuate ulaya.
Maana huyo mzungu anapenda viboga hatari

Nakupendaje sasa apo? MZungu wa wapi tena binamu tupe umbeaaaa usijali tutatoa faini usikae jelaa
 
Naisubiri miezi hiyo mitatu jide ni jembe,kuna mwingine tushasubiri lipstick mpaka basiiii

Umeona eeh jide ni jembee lile, hahahah hyo lipstick mpaka nimesahau, mie toka ile movie ya super star alivyoipamba mpaka leo haipo ata simwamini
 
Jide atamkumbuka sana Gardner... Sioni Jide akiweza kusimama peke yake tena bila support ya G.

Nyimbo zinabuma, biashara zinakwama marafiki wamepungua. Mpaka anatia huruma.

Dah, anatia huruma sana
 
Angemvumilia tu, mbona yeye kavumiliwa mengi.. Mapenzi ndio yalivyo sio wote wanapata malaika, maana kama ni kuumia nadhani kwa sasa ni mara sita ya mwanzoni.

Ila Gardner alikuwa mchafu sana, jide alivumia kwa kuwa alimpenda
 
Nakupendaje sasa apo? MZungu wa wapi tena binamu tupe umbeaaaa usijali tutatoa faini usikae jelaa

We unafikiri nyuma ya pazia kuvunjika kwa ndoa ya Jide na Gadner ni nini?
Yaani ale mzungu tu maboga, matikiti ale mwafrika?
Afu aliyekwambia Jide hana mtoto nan?
Ana mtoto mkubwa tu....umbea(nasikia alizalishwa yuko sekondari)

Asijibebishe........
 
Pale nimekula sana bia jioni nyingi......ni kama JIDE alikuwa hajui afanye nini......anyway ni maisha binafsi lakini kwa vile ni star mawili matatu hayakosekani.....pale ulikosekana ubunifu mdogo tu....akipachukua mtu serious atatengeneza pesa.....
 
We unafikiri nyuma ya pazia kuvunjika kwa ndoa ya Jide na Gadner ni nini?
Yaani ale mzungu tu maboga, matikiti ale mwafrika?
Afu aliyekwambia Jide hana mtoto nan?
Ana mtoto mkubwa tu....umbea(nasikia alizalishwa yuko sekondari)

Asijibebishe........

Usiniambie? Mbona jide alisema hajui uchungu wa mwana ye anajua uchungu wa period tu, kuhus kuwa na mtoto nilisikia kitambo, kwa nini anaficha? Ili iweje?

Mmh!! Huyo mzungu wa wapi tena? Au ndio type za kina mzungu wa lucy komba?
 
Usiniambie? Mbona jide alisema hajui uchungu wa mwana ye anajua uchungu wa period tu, kuhus kuwa na mtoto nilisikia kitambo, kwa nini anaficha? Ili iweje?

Mmh!! Huyo mzungu wa wapi tena? Au ndio type za kina mzungu wa lucy komba?

Muongo mkubwa....ameingia labour kama Madame B tu hapa....asijibebishe

Binamu bhana...utakuja kuniletea chai Segerea.
Ngoja picha ya huyo mzungu ninayo...nikiipata nitai-upload umuone.
Mzungu mtu mzima, wa Lucy anasubiri ila nasikia ana mawe.

Kuna msanii mmoja wa movie alisema,mninukuu....alisema "mzungu wa Jide anapenda kula maboga"
....nashangaa anavyojishaua kuwa hana mtoto, labda anataka aonekane bikira, wakati pale alipo hana ya mbele wala ya nyuma, chezea mzungu wewe,anawekeza kuanzia kwenye nchi yetu mpaka kwenye miili yetu.
 
Last edited by a moderator:
Muongo mkubwa....ameingia labour kama Madame B tu hapa....asijibebishe

Binamu bhana...utakuja kuniletea chai Segerea.
Ngoja picha ya huyo mzungu ninayo...nikiipata nitai-upload umuone.
Mzungu mtu mzima, wa Lucy anasubiri ila nasikia ana mawe.

Kuna msanii mmoja wa movie alisema,mninukuu....alisema "mzungu wa Jide anapenda kula maboga"
....nashangaa anavyojishaua kuwa hana mtoto, labda anataka aonekane bikira, wakati pale alipo hana ya mbele wala ya nyuma, chezea mzungu wewe,anawekeza kuanzia kwenye nchi yetu mpaka kwenye miili yetu.

Ndio maana uwa nakumis aisehh, wapi uko wametibua hali ya hewa nikaongeze petrol, ila kwa hadhi ya jide anafaa kuwa na mzungu kwa kweli, khaa na alivyokimbao mbao hyo tigo inafumuliwaj sasa, ila bora mwenzangu kuliko yahaya gadner
 
Last edited by a moderator:
Na mutahaba alikua anamla jide huku Habash akivumilia... unadhani ilikua simpo? Mshasahau ile skendo ya south????

Sasa si zaman kabla ya kuolewa, pale clouds ukipita lazima wakumaue uwe msichana au mvulana
 
Pale nimekula sana bia jioni nyingi......ni kama JIDE alikuwa hajui afanye nini......anyway ni maisha binafsi lakini kwa vile ni star mawili matatu hayakosekani.....pale ulikosekana ubunifu mdogo tu....akipachukua mtu serious atatengeneza pesa.....

Jide yupo vzur yule
 
Muongo mkubwa....ameingia labour kama Madame B tu hapa....asijibebishe

Binamu bhana...utakuja kuniletea chai Segerea.
Ngoja picha ya huyo mzungu ninayo...nikiipata nitai-upload umuone.
Mzungu mtu mzima, wa Lucy anasubiri ila nasikia ana mawe.

Kuna msanii mmoja wa movie alisema,mninukuu....alisema "mzungu wa Jide anapenda kula maboga"
....nashangaa anavyojishaua kuwa hana mtoto, labda anataka aonekane bikira, wakati pale alipo hana ya mbele wala ya nyuma, chezea mzungu wewe,anawekeza kuanzia kwenye nchi yetu mpaka kwenye miili yetu.

Maboga tehetehe
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana uwa nakumis aisehh, wapi uko wametibua hali ya hewa nikaongeze petrol, ila kwa hadhi ya jide anafaa kuwa na mzungu kwa kweli, khaa na alivyokimbao mbao hyo tigo inafumuliwaj sasa, ila bora mwenzangu kuliko yahaya gadner

Mhhhh! warumi hufai binamu! Yaani unashauri bora boss wako atoe tgo? Ila hata kwa G nasikia yalikua hayohayo kwahiyo hakuna jipya bibie atakua mzoefu sasa.
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom