Bar nyingi zipo empty

Bar nyingi zipo empty

Yani uongozi huu hesabu ambayo inatumika sana ni KDS kigao kidogo cha shirika. Hali mbaya
 
Tabata Kiukweli ni watu wanatoka sehemu mbalimbali kama vingunguti, banana, goms, kipawa nk hivyo kujaza kwa bar nikawaida
 
Kabana nn ,mishahara kapunguza,watu wengine hawana ajira wanasingizia Magu.
 
Wamekuja huku Dar nipo nao hapa Kinyange Bar
 
Hali si shwari mifukoni ila nimeshangaa kuna sehemu kama tatu nimepita watu wamejaa kwenye banda la kuonyesha mipira ya Ulaya nadhani hiyo imekuwa ndio mbadala wa ulevi...
Hao wengi ni waku bet wanaangalia maendeleo ya mikeka yao mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom