Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,979
- 26,083
Hawa wanaotufundisha kutumia simu na VPN?watoto hawataelewa, watajua tu ni goli la mapema la mpira..
Watoto wapi unazungumzia binti sayuniwatoto hawataelewa, watajua tu ni goli la mapema la mpira..
Ujingq ujinga tu. Kuvuta attention wajinga mara nyingi hutumia controversies.Ukiwa mezani kwako na mume na watoto wako, Ukawasha redio TBC
View attachment 3601713
ukaskia “bao la asubuhi” leo unalipata tokea wapi?
Watoto na mume watawaza kitu gani ?
Achana na watoto, wakwe wamekutembelea mnapata breakfast.watoto hawataelewa, watajua tu ni goli la mapema la mpira..
watoto wanguWatoto wapi unazungumzia binti sayuni
Sexually implicit. Sio utamaduni wetu.Ukiwa mezani kwako na mume na watoto wako, Ukawasha redio TBC
View attachment 3601713
ukaskia “bao la asubuhi” leo unalipata tokea wapi?
Watoto na mume watawaza kitu gani ?
Ni aibu, tena wakwe wa mjini hawa hmm!Achana na watoto, wakwe wamekutembelea mnapata breakfast.
Well and good. TCRA wapo tu, hili neno halina ladhan kwenye sikio wala kutamka. Wajukuu zangu wamefunga shule, mmoja akaniuliza "bibi bao la asubuhi " ni nini, nikampotezea kama sijasikia, nikajuta kufungua hiyo stesheni!Sexually implicit. Sio utamaduni wetu.
Kituo cha Taifa, attention for what, tuitake TRAC wawaambie wabadili jina la kipindi.Hiyo n kwa ajili ya kuvuta attention tuu nothing more, kama hv wakiona h post watafurahi mana walichokitaka kimetimia.
Na umeamka una furaha una-glow mara vaaap redio inazungumzia CHA ASUBUHI....Ni aibu, tena wakwe wa mjini hawa hmm!
Kwamba ikiwa kituo cha Taifa hairuhusiwi kutafuta attention?Kituo cha Taifa, attention for what, tuitake TRAC wawaambie wabadili jina la kipindi.
Anafikir hawa watoto ni sisi tuliambiwa tumenunuliwa hospitali na tukaamini.Watoto wapi unazungumzia binti sayuni
Attention ya nini wakati kinaendeshwa kwa ruzuku kutoka kwetu, kinatafuta nini? hebu na wewe mwananzengo elimika basi , toka kwenye kundi dogo la wapumbavu.Kwamba ikiwa kituo cha Taifa hairuhusiwi kutafuta attention?
🙏Toka kwenye kundi dogo la wapumbavu.