Bao la Chama dhidi ya Mbeya Kwanza NI HALALI, offside ya Kagere ilivunjwa

John Haramba

JF-Expert Member
Feb 4, 2022
365
1,373
Mchezo wa Simba dhidi ya Mbeya Kwanza umemalizika na kuna kelele nyingi kuhusu bao la Simba lililofungwa na Clatous Chama kuwa kabla ya kufunga mshambuliaji wa timu yake Meddie Kagere alikuwa ameotea (offside).

Picha za video zinaonyesha kuwa winga wa Simba, Sakho kabla hajapiga shuti lililosababisha bao hilo ni kweli Kagere alikuwa katika nafasi ya kuotea, lakini kwa kuwa shuti hilo lilimgonga beki wa Mbeya Kwanza wakati akitaka kuokoa, ndipo hapo akavunja offside kwa Kagere.

Kagere ambaye alikuwa katika nafasi ya kuotea, kwa kitendo hicho cha beki wa Mbeya Kwanza inamaanisha alikuwa sahihi kuuwahi mpira na kuucheza kisha Mugalu akaugusa na kisha Chama akafunga.

Hivyo, bao la Chama ni halali kwa sababu offside ilivunjwa kwa mujibu wa kanuni ya kuotea na ndiyo maana mwamuzi ameruhusu bao hilo kuwa halali katika mchezo wa Jumapili Februari 6, 2022.
 
Kagere ambaye alikuwa katika nafasi ya kuotea, kwa kitendo hicho cha beki wa Mbeya Kwanza inamaanisha alikuwa sahihi kuuwahi mpira na kuucheza kisha Mugalu akaugusa na kisha Chama akafunga.

Hivyo, bao la Chama ni halali kwa sababu offside ilivunjwa kwa mujibu wa kanuni ya kuotea na ndiyo maana mwamuzi ameruhusu bao hilo kuwa halali katika mchezo wa Jumapili Februari 6, 2022.


Babu, kisheria offside haivunjwi na Deflection. Chutama tu.
Screenshot_20220206-214241.jpg
 
Ule mpira ungeenda moja kwa moja kwa mchezaji aliyekuwa kwenye offside position ingekuwa ni sahihi ni offside, ila mpira haukumfikia yeye kwa wakati huo hivyo ni goli halali. Ila jana vibendera wametuongopea zaidi zile offside mbili za Yanga hazikuwa offside
 
So if a defender plays a poor pass, and that pass is intercepted by an opposition player who was in an offside position, it would not be offside.
We ni mpumbavu sana uchambuzi mandazi

Nani amepiga pasi? Unaweza kupiga pasi vile? Wabongo mnaua mpira kwa sababu za ushabiki.

Pumbavu zenu litimu libovu ngoja muone caf mtakavyochezea vya kutosha.
 
Ule mpira ungeenda moja kwa moja kwa mchezaji aliyekuwa kwenye offside position ingekuwa ni sahihi ni offside, ila mpira haukumfikia yeye kwa wakati huo hivyo ni goli halali. Ila jana vibendera wametuongopea zaidi zile offside mbili za Yanga hazikuwa offside
Hiyo ni offiside kwa sababu ni deflection sio pass pls eleweni sheria hao waamuzi wamepewa tu bahasha

TFF inaua mpira
 
Mchezo wa Simba dhidi ya Mbeya Kwanza umemalizika na kuna kelele nyingi kuhusu bao la Simba lililofungwa na Clatous Chama kuwa kabla ya kufunga mshambuliaji wa timu yake Meddie Kagere alikuwa ameotea (offside).

Picha za video zinaonyesha kuwa winga wa Simba, Sakho kabla hajapiga shuti lililosababisha bao hilo ni kweli Kagere alikuwa katika nafasi ya kuotea, lakini kwa kuwa shuti hilo lilimgonga beki wa Mbeya Kwanza wakati akitaka kuokoa, ndipo hapo akavunja offside kwa Kagere.

Kagere ambaye alikuwa katika nafasi ya kuotea, kwa kitendo hicho cha beki wa Mbeya Kwanza inamaanisha alikuwa sahihi kuuwahi mpira na kuucheza kisha Mugalu akaugusa na kisha Chama akafunga.

Hivyo, bao la Chama ni halali kwa sababu offside ilivunjwa kwa mujibu wa kanuni ya kuotea na ndiyo maana mwamuzi ameruhusu bao hilo kuwa halali katika mchezo wa Jumapili Februari 6, 2022.
Naomba hio sheria nisome mwenyewe bila mhemko
 
Mbeleko ya wazi kabisa ndio maana hawa marefa wanakosa sifa kuchezesha michuano ya kimataifa kwa maamuzi ya kimichongo.
 
Back
Top Bottom