Bans

Konnie umeshajua una kipaji. . .acha kukichezea.
Embu niitie binti mmoja hivi na babaye wote ni member humu.

hahahahah......yaani katika siku nimewahi cheka sana, ni leo kwenye huu uzi aisee!! Alipochomoka Gentleman....ndo kabisa ameua bendi, I couldn't help myself with it.....nimecheka mpaka ikabidi niamke lol!!!
 
hahahahah......yaani katika siku nimewahi cheka sana, ni leo kwenye huu uzi aisee!! Alipochomoka Gentleman....ndo kabisa ameua bendi, I couldn't help myself with it.....nimecheka mpaka ikabidi niamke lol!!!

Have u seen daddys babygal?
 
@Kongosho, SL & Kloro......hiyo pipi mwishoe mtaifanya iwe ladhaless jamani, maana naona kila mtu anaigea tafsiri yake lol!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…