Who are You????habari ndio hiyo. sasa hivi nimembandika. kumbandua hadi ntakapo jiskia. hivi sasa nina uwezo wa kumbandika member yoyote aliye jf na kumbandua nitakavyo. so usijaribu kuingia anga zangu. wkend njema. ova
Bhange mbaya sana! Nashukuru Mungu nimeweza kuacha,kha!
Nitafsirie alichosema mleta mada...in English plz.Bhange mbaya sana! Nashukuru Mungu nimeweza kuacha,kha!
imepanda sana bei. Naomba iliobak.
Nitafsirie alichosema mleta mada...in English plz.
mmmmmh, hebu mrudisheni
mie hadi nimemuota.
Hahahaa hiyo ya rais wa wadanganyika hapana....mi nimezoea ile unayoongeaga na NNNInglish ipi, kama ile nnayoongeaga na Nyani Ngabu ama kama ile ya rais wako ya ku-manufacture teachers?
Leo huendi bar?Na log out!
Na ukiwa una njaa ndo balaa linazidijee!Bhange mbaya sana! Nashukuru Mungu nimeweza kuacha,kha!