maishapopote
JF-Expert Member
- May 28, 2009
- 3,277
- 5,517
Kuna kazi nimefanya mahali...sasa kuna mpunga mrefu natakiwa nipewe...kikwazo ikaja kuna documents inatakiwa (CODE) Na hiyo code ni hela inatakiwa 2,500,000 nikapambana nikatoa 1.5 bado 1m nikakwama...!
Nikiri na umri huu nimejifunza kitu kipya ambacho nilikua nakiskia na kukiona kwa watu sa hv kimenitokea...
Nikawafata ma hommies wale wa ndani kabisa (Inner Circle) nikiwaomba wanisaidie hiyo 1m...
Hola wa kwanza akaniambia ni mtee kabisa.
Hola wa pili mtee wa sita akaniunganisha mahali nikope baadae mkopeshaji na alienipeleka hawashiki simu
Nikakaa nikawaza nimekosea wapi?
Kumbe nawachana live kwamba nadai so na so...aisee kumbe wanapanick uzuri deal nimekamilisha ila kulipwa bado na mzigo ushatumika....so lazma nilipwe...
Nimeweka pozi...
Nasubiria muda wowote nitamalizia hiyo 1m ila nimejifunza kitu..hawa hawa ndio mimi huwaokoa kwenye angle ngumu sana, mmmoja kodi, mmoja central mmoja harusi na hela yenyewe wanarudisha dusco dusco...ila this time wataniona kauzu kama sielewi hivi!
Usimtegemee Mtu Yoyote ukiwa na shida!
UPDATES: Siumizwi sana baadhi ya watu wachache hapa wakisema mm ni tapeli na nimeweka uzi ili nipate hiyo 1m hapana ...sijaomba mtu wala sitaki mtu anipe..nilijaribu tu kuexpress kilichonitokea ...
Nimejiunga JF rasmi may 2009..leo ni zaidi ya miaka 14 sijawahi kuwa na lalamiko wala Ban na nyuzi zangu sio za kuudhi ila naamini..kuna upeo flani wa ufikiri umepungua JF...Baseless Asumptions na nafkiri utoto..unafanya watu wengi wakae kimya..
Nyuzi nyingi za Mapenzi mnazolalamikaga huwa mara nyingi nawashauri humu ila kuna watu wengi wanawakaushia kwasababu ya majibu yenu...jitahidini kuwa waungwana!
Nikiri na umri huu nimejifunza kitu kipya ambacho nilikua nakiskia na kukiona kwa watu sa hv kimenitokea...
Nikawafata ma hommies wale wa ndani kabisa (Inner Circle) nikiwaomba wanisaidie hiyo 1m...
Hola wa kwanza akaniambia ni mtee kabisa.
Hola wa pili mtee wa sita akaniunganisha mahali nikope baadae mkopeshaji na alienipeleka hawashiki simu
Nikakaa nikawaza nimekosea wapi?
Kumbe nawachana live kwamba nadai so na so...aisee kumbe wanapanick uzuri deal nimekamilisha ila kulipwa bado na mzigo ushatumika....so lazma nilipwe...
Nimeweka pozi...
Nasubiria muda wowote nitamalizia hiyo 1m ila nimejifunza kitu..hawa hawa ndio mimi huwaokoa kwenye angle ngumu sana, mmmoja kodi, mmoja central mmoja harusi na hela yenyewe wanarudisha dusco dusco...ila this time wataniona kauzu kama sielewi hivi!
Usimtegemee Mtu Yoyote ukiwa na shida!
UPDATES: Siumizwi sana baadhi ya watu wachache hapa wakisema mm ni tapeli na nimeweka uzi ili nipate hiyo 1m hapana ...sijaomba mtu wala sitaki mtu anipe..nilijaribu tu kuexpress kilichonitokea ...
Nimejiunga JF rasmi may 2009..leo ni zaidi ya miaka 14 sijawahi kuwa na lalamiko wala Ban na nyuzi zangu sio za kuudhi ila naamini..kuna upeo flani wa ufikiri umepungua JF...Baseless Asumptions na nafkiri utoto..unafanya watu wengi wakae kimya..
Nyuzi nyingi za Mapenzi mnazolalamikaga huwa mara nyingi nawashauri humu ila kuna watu wengi wanawakaushia kwasababu ya majibu yenu...jitahidini kuwa waungwana!