Kumbe hadi Estim construction?MMI Steel.. Estim Construction....not sure about Nyanza Road Works.
Who owns Shanta Gold Mine in Chunya?
Kuna watu hawawezekani
Hilo swali hata mimi huwa najiuliza sana pale ninapoitafakari legacy ya yule mzee wetu!umeongea kwa uchungu sana mkuu Mag3...........
mimi siachi kumlaumu mzee nyerere kwa haya, alikua na uwezo kabisa wa kuua ccm lkn kwann alishindwa??
kwann aliacha katiba ya chama ndio iongoze nchi? maana katiba yetu ni katiba ya ccm ile wala sio ya taifa.........
yule mzee sitaki hata kumkumbuka kwa mazuri yake,,,,, na hii ccm tutakufa tutaiacha!..... nchi haina usalama kabisa kisa ccm
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mkuu hadi hasira inanipanda! Ngoja nikapate kikombe cha chai kwanza nitulize mawazo.Ukishangaa ya Musa, je ya Farao? Juzi tumemuona RA kwenye sherehe ya kumpokea Lowassa siyo? KAGODA, iliyochotewa mabilioni kwenye EPA mwezi Octoba mwaka 2005, iliasisiwa na RA/Manji lakini wanufaika walikuwa ni pamoja na CCM. KAGODA na CCM walikuwa ni kama pete na kidole.
CCM haijawahi kuadhibiwa pamoja na baraka na ushiriki wake katika ufisadi. Ufisadi mkubwa wa CCM kama chama ni ule wa kuwadhulumu Watanzania mali zao kama majengo, makampuni, shule, viwanja vya michezo na mengine mengi tu. Amini usiamini adui nambari wani wa taifa hili ni CCM.
Kuna file ambazo links zimegeuka pdf, Sasa si nikaiobenyeza ili nipakuwe? Lakini kila ni nikibonyeza najikuta badala ya kufungua hilo faini la pdf, najikuta nimetokea kwenye nani Page ya JF. Ntakuwekea link uone mwenyewe! Sijajaribu kufungua kwenye computer natumia simu.
Truth be told, Estim ni moja ya makampuni yanayojua yanafanya nini kwenye construction industry. They deliver work with high standards and qualityAmepewa tenda na serikali hii ya jiwe?
Lakini asingeweza kufanya hivyo bila ya vigogo ambao ni watanzania wenzetu walikuwa mastermind waku injinia mchezo mzima.Perfect.
Kwa hiyo Chavda wetu alinunua deni kwa 2.5 millioni, jamaa akaenda kuvuna mabilioni toka kwa mdaiwa ambaye ni serikali yetu!
Nimekupata barabara na kila kitu sasa kimefunguka vyema.
Haya tuendelee!
Very well said. Let’s wait and see!I think some of these things surface in a good faith. For people to know. For people to think. And come up with solutions that same things will never happen again.
As a nation, if we stay put or stagnant, we could close in our world and forget about it. Life is short and our time is limited.
Our leaders should clean up the mess some few people, for so long have created. We can't attain our proper poaition in the world if the same people who still and work on annihilating the nation still enjoy the status of VIP.
There is a spanish say....al maestro cuchillada...To the master goes the knife....We have the master and he has the knife... lets wait and see how the knife is going to be put on use this time!
Vijana wengi sana ambao naskia wanajiita “wazalendo wa ccm”, wameshtushwa na kupigwa na butwaa! Pengine wakijiuliza msaliti haswa wa Taifa hili ni nani?Ahsante Mag3, kwa video hiyo.
Mjadala huu umetoa fursa kama mfano mzuri kwa yeyote anayetaka kujua hali halisi tuliyoifikia kama taifa.
Ni kiasi cha kusoma tu kwa utulivu na kuelewa yaliyosemwa humu.
Sijaona sehemu yoyote ndani ya mjadala huu hoja yenye utetezi juu ya yaliyofanyika, kwamba yalifanywa kwa manufaa ya taifa.
just eliminate him.........UPO ila hawawezi kufanya lolote mpaka wampe taarifa SPONSOR (Rais) ndiye aamue nini kifanyike. Katiba ndivyo inavyoelekeza hata ile sheria iliyounda TISS ya mwaka 1996 kipindi cha Mkapa. Marais wenyewe sasa!!!
ukitafakari sana huwezi kuona legacy ya huyu baba zaidi ya kutuachia taifa.......Hilo swali hata mimi huwa najiuliza sana pale ninapoitafakari legacy ya yule mzee wetu!
Sio rahisi kama unavyoandika hapo kuna kiapo kinachowaongoza na hata Sponsor mwenyewe anachagua DG anayemuamini. Agencies zetu sio sawa na za nchi zingine mfano za dunia ya kwanza. Tuongelee uhalisia.just eliminate him.........
sidhan kama tiss wanashindwa kum-eliminate mtu msumbufu sumbufu.......
sioni kama kuna willing upande wao, ila wakiamua wanamtoa kimya kimya akakutane na ndugu zake huko ahera!
Sent using Jamii Forums mobile app
naelewa sana, ndio maana hupenda DG wa tiss anayemwamini na kule CDF anaemwamini pia........Sio rahisi kama unavyoandika hapo kuna kiapo kinachowaongoza na hata Sponsor mwenyewe anachagua DG anayemuamini. Agencies zetu sio sawa na za nchi zingine mfano za dunia ya kwanza. Tuongelee uhalisia.
Fikiria Mwanasheria Mkuu wa Serikali anafunguliwa akaunti huko nje na kuwekewa dola za Marekani 1,000,000 (Tsh. 2,400,000,000/=!) na mwingine Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UMMA naye kawekewa USD 500,000 (Tsh. 1,200,000,000/=!) Nchi ya vijisenti na hela ya mboga! Halafu tunajiita nchi masikini!Lakini asingeweza kufanya hivyo bila ya vigogo ambao ni watanzania wenzetu walikuwa mastermind waku injinia mchezo mzima.
Dah!! Kwa wakati huo pesa ilikuwa nyingi sana na hilo dili moja tu,unafikiri wamepiga mangapi?Fikiria Mwanasheria Mkuu wa Serikali anafunguliwa akaunti huko nje na kuwekewa dola za Marekani 1,000,000 (Tsh. 2,400,000,000/=!) na mwingine Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la UMMA naye kawekewa USD 500,000 (Tsh. 1,200,000,000/=!) Nchi ya vijisenti na hela ya mboga! Halafu tunajiita nchi masikini!
Ametuachia katiba kama ya ile ya Joseph Stallin na Mao Zedung!ukitafakari sana huwezi kuona legacy ya huyu baba zaidi ya kutuachia taifa.......
labda alituachia taifa zuri, thats the only legacy!
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna file ambazo links zimegeuka pdf, Sasa si nikaiobenyeza ili nipakuwe? Lakini kila ni nikibonyeza najikuta badala ya kufungua hilo faini la pdf, najikuta nimetokea kwenye nani Page ya JF. Ntakuwekea link uone mwenyewe! Sijajaribu kufungua kwenye computer natumia simu.
From my archive...... Nataka ku-upload a pdf file lakini sioni hio option. Any help?
Done !!!!!Bonyeza hapo kwenye reply kisha utaona a transparent box upande wa kushoto (chini ya sehem ya kuweka comment) yenye alama ya + imeandikwa photos and files then Fanya makeke