ommy clear
JF-Expert Member
- May 26, 2018
- 214
- 57
Habari wanajf sorry naomba kuuliza kati ya NMB na CRDB upande upi una afadhali kwenye makato ya mwezi na makato wakati wa kufanya transactions?
Bora NMB au bora CRDB?
Bora NMB au bora CRDB?
Hii ndio akili.Banks Siyo Rafiki Wa Masikini!!!
Ushauri Mzuri Pesa Tunza Ndani
Japo Tunalazimishwa Kupitishia Pesa Banks
Umeona Wahindi Wakipanga Foleni ATM
Huwezi Kuwaona Wao Wanaweka Pesa Ndani
Nmb Nakumbuka 2007 Nakumbuka Walikuwa Wanatoa InterestHii ndio akili.
Kama sio muajiriwa, chimba shimo ndani weka Sefu, kisha tunza pesa zako.
Bank za zamani kulikuwa na interest zinalipwa, siku hizi ni makato tu.
Ujinga kabisa.
2007 ni zamani, hii ni 2019 makato tu. No interest.Nmb Nakumbuka 2007 Nakumbuka Walikuwa Wanatoa Interest
Nbc je
Wanatoa mkopo hawa jamaa?Kama mkopo nenda PBZ huta juta mkuu