Bango limeandikwa "Noah zetu veepe"kwani hilo bango liliandikwaje?
Hili bango limewasilisha hisia za watanzania million 3Kitendo cha yeye kulizungumzia ndio amelipa umaharufu.Angepiga kimya tu hata huu uzi usingeanzishwa hata mimi nisingetaka kulijua.
Sent using Jamii Forums mobile app
Daamn, the nigga need more than a world trophy.Bango lenyewe ndio hili!View attachment 547901
Una maanisha Yule Bwana tuliekuwa tunamsimanga kwa Maneno 'Rais Dhaifu, kuna Ombwe la UongoZi n.k', Malipo ni hapa hapa Duniani, Akhera ni Mahesabu tu!
Matatizo gani?"Hilo bango hata ulionyeshe siwezi kulisoma,eh jamani watu wanajitafutiaga matatizo....mwacheni tu msimkamate"
hahahahahaBango limeandikwa "Noah zetu veepe"
Natafakari hapo bold tu ndio sijaelewa vema!!Akihutubia umati mkubwa watu, Katika uzinduzi Wa Barabara ya Kidahwe - Kasulu, Rais John Pombe Magufuli ameonekana live katika vyombo vya habari akimtupia maneno Mwananchi ambaye alibeba bango na mbele ya Magufuli. Rais alisikika akisema "
"Wananchi Wengine Mnajitafutia Matatizo
Hilo Bango Lako Hata Ulionyeshe Silisomi
Haya Nimesoma Mabango Yote Ujumbe Nimeupata
Ninyi Askari Mwacheni Huyo"
Haikufahamika haraka kuwa Bango hilo lilikuwa na ujumbe gani ingawa inatafasiriwa kuwa ujumbe huo utakuwa ni dongo kwa Mheshimiwa.
kuna waanfishi Wa habari walionekana wakichukua picha katika purukushani hizo. tunaomba picha ya ujumbe huo itupiwe humu ili tuuone ujumbe huo ambao haukumpendeza Rais wetu
Akili yako matopeeeeeHaijawai kutokea tuna na Rais anaejistukia kama huyu aisee ni kwi kwi
"SISI HUKU KIGOMA MMETUTENGA SANA KAMA TUKO BURUNDI 2020 MWISHO"
inasemekana maneno haya hayakumfurahisha jpm na kupelekea mwandishi wa bango kulala lumpango badala ya nyumbani kwake,
source: hellotz