Bango lililomkasirisha Magufuli huko Kasulu Kigoma na mbebaji kuishia korokoroni

23.jpg
 
Akihutubia umati mkubwa watu, Katika uzinduzi Wa Barabara ya Kidahwe - Kasulu, Rais John Pombe Magufuli ameonekana live katika vyombo vya habari akimtupia maneno Mwananchi ambaye alibeba bango na mbele ya Magufuli. Rais alisikika akisema "

"Wananchi Wengine Mnajitafutia Matatizo
Hilo Bango Lako Hata Ulionyeshe Silisomi
Haya Nimesoma Mabango Yote Ujumbe Nimeupata


Ninyi Askari Mwacheni Huyo"

Haikufahamika haraka kuwa Bango hilo lilikuwa na ujumbe gani ingawa inatafasiriwa kuwa ujumbe huo utakuwa ni dongo kwa Mheshimiwa.

kuna waanfishi Wa habari walionekana wakichukua picha katika purukushani hizo. tunaomba picha ya ujumbe huo itupiwe humu ili tuuone ujumbe huo ambao haukumpendeza Rais wetu
Natafakari hapo bold tu ndio sijaelewa vema!!
 
"SISI HUKU KIGOMA MMETUTENGA SANA KAMA TUKO BURUNDI 2020 MWISHO"

inasemekana maneno haya hayakumfurahisha jpm na kupelekea mwandishi wa bango kulala lumpango badala ya nyumbani kwake,

sijui neno "2020 MWISHO" alimaanisha mwisho wa nini lakini pia sasa hapa sijui alilala lumpango kwa kosa gani?

source: hellotz
 
"SISI HUKU KIGOMA MMETUTENGA SANA KAMA TUKO BURUNDI 2020 MWISHO"

inasemekana maneno haya hayakumfurahisha jpm na kupelekea mwandishi wa bango kulala lumpango badala ya nyumbani kwake,

source: hellotz

Ukweli Mchungu
 
Back
Top Bottom