Bango zuri lingekuwa: Sisi Kigoma tunaishukuru CCM ni kama tuko Geneva! Asante Rais."SISI HUKU KIGOMA MMETUTENGA SANA KAMA TUKO BURUNDI 2020 MWISHO"
inasemekana maneno haya hayakumfurahisha jpm na kupelekea mwandishi wa bango kulala lumpango badala ya nyumbani kwake,
sijui neno "2020 MWISHO" alimaanisha mwisho wa nini lakini pia sasa hapa sijui alilala lumpango kwa kosa gani?
source: hellotz
Inasemekana? Uzushi mtupu."SISI HUKU KIGOMA MMETUTENGA SANA KAMA TUKO BURUNDI 2020 MWISHO"
inasemekana...
"Hata ulinyooshe vipi,silisomi ng'ooo" Sijui alijuaje kuwa halifai kusomwa!!!!
Muanzisha mada kaamua kutupoteza kwenye huu uzi
Magufuli huwa hapendi kuambiwa Ukweli tena inashangaza kuogopa bango wakati anazo kamati za uchakachuaji wa kura na zimeshapiga kura ya 2020 ipo stoo wanasubiri uchaguzi ufike watangaze matokeo kama kawaida yao."SISI HUKU KIGOMA MMETUTENGA SANA KAMA TUKO BURUNDI 2020 MWISHO"
inasemekana maneno haya hayakumfurahisha jpm na kupelekea mwandishi wa bango kulala lumpango badala ya nyumbani kwake,
sijui neno "2020 MWISHO" alimaanisha mwisho wa nini lakini pia sasa hapa sijui alilala lumpango kwa kosa gani?
source: hellotz