chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,600
- 28,594
umeongeza mkuu hakukua na bango la hvo
Tuletee la kwako mkuu.
umeongeza mkuu hakukua na bango la hvo
umeongeza mkuu hakukua na bango la hvo
walimu Wa Tanzania ni janga la taifa
Hahahaha
Walimu hawako serious... wanaenda kiutani utani badala ya kukomaa... Dai haki kwa kukomaa sio shemeji shemeji...
Shida ni moja tu,wengi wao uwalimu wameupata kwa kuungaunga na mbaya zaidi most of them ni failure hawawezi komaaa.
Ahahaha sasa sjaelewa walimu wameozesha au?
Hivi janga la kitaifa ni walimu au matatizo yao yanayotokana na madai yao ya msingi ndio janga la kitaifa??.