Mtumpole
JF-Expert Member
- Aug 30, 2010
- 2,280
- 1,296
Mkuu
Naona unatengeneza maazimio yako sasa.
Na .......
Leo mapumziko, unaweza kuta jamaa anapata ya 10!
Mkuu
Naona unatengeneza maazimio yako sasa.
Na .......
Adhimio sio sahihi bali ni Azimio. itakuwa umesoma wakati wa j.k. na mkapa waliozika Azimio la Arusha.
Hii tabia ya kufukua fukua si aliishakataza? Ona sasa umemwaibisha mtoto wa mkulima!Naamini kuwa RAIS MAGUFULI ni member wa JAMIIFORUMS