ndyoko
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,971
- 1,650
Hii maneno nilikutana nayo wakati naishi Sinza. Jamaa alikuwa kijiweni wakati anajiandaa kwenda kufanya mapenzi na msichana wa mtaani kwetu. Wakati anajiandaa na hiyo shughuli, alikuwa na bia nne mkononi akizinywa, msokoto mmoja akiuvuta na vidonge vya viagra. Alituambia kuwa kwa kufanya hivyo huwa anaweza kukaa kifuani kwa muda mrefu bila kuchoka-kati ya dakika 20 hadi 30, ndo anapata mshindo wa kwanza.
Madai yake ni kwamba uwezo huo ameupata baada ya kuwa anatumia huo mchanyato wa kemikali za bangi, viagra na pombe kwani kabla ya hapo alikuwa hachui hata dakika mbili, tayari wazungu wametoka tofauti na sasa baada ya kuanza kutumia huo mchanganyiko wa kilevi.
Wenye uelewa wa mambo, hivi kuna ukweli hapo au ndo pengine jamaa anajimaliza kabisa kizazi kwa mtindo huu wa kuchanganya hayo madawa?
Madai yake ni kwamba uwezo huo ameupata baada ya kuwa anatumia huo mchanyato wa kemikali za bangi, viagra na pombe kwani kabla ya hapo alikuwa hachui hata dakika mbili, tayari wazungu wametoka tofauti na sasa baada ya kuanza kutumia huo mchanganyiko wa kilevi.
Wenye uelewa wa mambo, hivi kuna ukweli hapo au ndo pengine jamaa anajimaliza kabisa kizazi kwa mtindo huu wa kuchanganya hayo madawa?