Bangi noma

Bangi noma

IrDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 26, 2010
Posts
745
Reaction score
361
Masela walikuwa wanavuta bangi Sehemu,kibiriti kikawaishia, wakamtuma msela akaombe Sehemu, msela akatembea mpaka anarudi tena kwenye chumba kilekile, na akasahau kama ndo alipo toka, akawaomba kibiriti,
washikaji wakamwambia,"mwana we njoo ukae kuna msela tumemtuma ametoka sasa hivi atarudi"
bila kujua ndo msela wao,
Bangi Noma....
 
Bange nibangueeee!!! noma!! kwani wanapenda!!! maisha magumu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom