Bangi na vijana Arusha

Bangi na vijana Arusha

and 998 others

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
27,921
Reaction score
39,105
Bangi imekuwa na athari Arusha vijana mnajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bangi, NGUVU KAZI INAPOTEA huku Viongozi wanaangalia. Uhalifu Arusha ni kiashiria kuwa Bangi ndo chanzo.
NB: Baadhi ya wavutaji bangi mnajihusisha na mapenzi kinyume na maumbile bila kinga, Ni janga la kumaliza kizazi
 
Bangi imekuwa na athari Arusha vijana wanajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bange, nguvu kazi ikapotea huku Viongozi wanaangalia. Crime rate Arusha ni kiashiria kuwa Bange ndo chanzo
Mbona wengine wakivuta bangi ndo wanapiga kazi hatari? Why wengine iwaharibu?
 
Inaonekana kuna kitu umefanywa na hao vijana unaowaita wavuta bangi. Maana bangi na 0713 wapi na wapi!! Hebu fafanua vizuri wamekufanya nini hawa vijana tujue namna ya kukusaidia.
Pole Sana bangi imewafanya vijana hamjithamini Tena. mmevuliwa ubingwa kwa tamaa ya pesa kidogo ya kununua bangi
 
Vijana wa Tz Unakuta Maisha yake Magumu lakini anatamani kuvuta Bangi hapo ndo Anafirwa
bill Kinga
na watoto wakike hapa mtaani wanafirwa kwa miatano tu wakishapiga Ganja


NB : bangi Ni Kama Pombe na kilevi kinginecho lakini Kama hauna Kazi ya kukuwezesha Kupata kipato lazima Arosto isababishe ufirwe hii hata kwa upande wa wanokunywa Pombe wengi wanafirwa Sana , sema wakishafirwa hawawezi kukuambia .
 
Bangi imekuwa na athari Arusha vijana mnajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bangi, NGUVU KAZI INAPOTEA huku Viongozi wanaangalia. Uhalifu Arusha ni kiashiria kuwa Bangi ndo chanzo.
NB: Baadhi ya wavutaji bangi mnajihusisha na mapenzi kinyume na maumbile bila kinga, Ni janga la kumaliza kizazi
Acha umbea,kwani kwa hapa Tanzania arusha pekee ndo wanavuta hizo bangi??mbona mateja kibao wamejazana dar kwani hao mateja wanasaidia taifa kitu gani??au hujui kuwa mateja wakikosa madawa wanafirwa,hilo umelifumbia macho??au vIjana wanaokunywa pombe kali huko mikoani wanaisaidia nini taifa??kuna mbunge alisema bangi hiararishwe kwani katokea arusha??Acha chuki za binafisi kwa arusha,hii tabia inaanza kuleta ukabila sasa tusipokuwa makini tunaenda kuwa kama kenya au wengine huko,mleta mada uwe unafanya research kabila ya kuandika utumbo wako wewe unaona arusha ndo wana vuta bangi sana??Acha umama wewe
 
Utasikia ujanja ...ujinga mtupu vijana hawana future unakuta jamaa jitu kubwa 35 uhuni hata familia haliwezi kulelea ,kuvuta mabangi kutelekeza watoto basi ..likishavuta liko high linajikuta janja kumbe ujinga mtupu..sio vijana wa Arusha tu kila kona Kuna ujinga huo
Yani wewe kumalo sana sasa chuki yani nini kwa arusha??utakuwa umelegezwa tuziii
 
Back
Top Bottom