Bangi na vijana Arusha

Bangi na vijana Arusha

Vijana wengi wa Arusha ni masela mavi na ujuaji wa kifala, miaka mingi mbele Arusha inaweza kuwa na vijana wajinga kuliko mkoa wowote Tanzania.
 
Hiyo bangi ya dar
Watu kibao wanatumia Dawa, hata mtoa mada sio ajabu Baba anakula dawa vizuri tu, dawa ni mmea uzao msimu wote wa mwaka, ni kama nyanya vile kama kichwa chako hakiwezi kumudu na unahitaji piga puff 2 tatu endelea na kazi zako..
Philosophers mashuhuri kwenye hii Dunia wametumia Mmea kutuliza fikra chonganishi za hii Dunia..Brother Bob Marley, Peter Tosh, Einsten & ...&...&...

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Mtoa Mada mbona unaumwa?Umekonda nini? Heeeheee kumbe nimevuta.
 
Mtu anakaa anatetea bangee
Hii nchi Uhuru umezidi
JamiiForums1686178019.jpg
 
Watu kibao wanatumia Dawa, hata mtoa mada sio ajabu Baba anakula dawa vizuri tu, dawa ni mmea uzao msimu wote wa mwaka, ni kama nyanya vile kama kichwa chako hakiwezi kumudu na unahitaji piga puff 2 tatu endelea na kazi zako..
Philosophers mashuhuri kwenye hii Dunia wametumia Mmea kutuliza fikra chonganishi za hii Dunia..Brother Bob Marley, Peter Tosh, Einsten & ...&...&...

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Genesis 9:3
Every moving thing that lives will be food for you. As the green herb, I have given everything to you.
 
Bangi imekuwa na athari Arusha vijana mnajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bangi, NGUVU KAZI INAPOTEA huku Viongozi wanaangalia. Uhalifu Arusha ni kiashiria kuwa Bangi ndo chanzo.
NB: Baadhi ya wavutaji bangi mnajihusisha na mapenzi kinyume na maumbile bila kinga, Ni janga la kumaliza kizazi

Binafsi nimekusamehe
 
Bangi imekuwa na athari Arusha vijana mnajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bangi, NGUVU KAZI INAPOTEA huku Viongozi wanaangalia. Uhalifu Arusha ni kiashiria kuwa Bangi ndo chanzo.
NB: Baadhi ya wavutaji bangi mnajihusisha na mapenzi kinyume na maumbile bila kinga, Ni janga la kumaliza kiza

Bangi imekuwa na athari Arusha vijana mnajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bangi, NGUVU KAZI INAPOTEA huku Viongozi wanaangalia. Uhalifu Arusha ni kiashiria kuwa Bangi ndo chanzo.
NB: Baadhi ya wavutaji bangi mnajihusisha na mapenzi kinyume na maumbile bila kinga, Ni janga la kumaliza kizazi
Chugga vijana wengi wamedata kisa bangi yaani kuna vichaa kibao hadi wengine wanapewa airtime kwenye media😀😀hapo kaloleni ndo center ya uharifu wanauza biskuti za bangi, kuna hadi cake za bangi chugga ila nashangaa this year ndo wanajifanya kukamata biscuit za bangi😀😀wakati party kibao watu wanaletewa cannabis cakes
 
Back
Top Bottom