APPROXIMATELY
JF-Expert Member
- Aug 10, 2021
- 2,035
- 2,737
Umedandi treni kwa mbele,wewe hujui chochote.kuhusu bangi,Acha chuki za kimama,yani hapo bila kificho mateja walikutoa malinda weweBangi imekuwa na athari Arusha vijana mnajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bangi, NGUVU KAZI INAPOTEA huku Viongozi wanaangalia. Uhalifu Arusha ni kiashiria kuwa Bangi ndo chanzo.
NB: Baadhi ya wavutaji bangi mnajihusisha na mapenzi kinyume na maumbile bila kinga, Ni janga la kumaliza kizazi