Bangi na vijana Arusha

Bangi na vijana Arusha

Kwanza bangi ya arusha huwezi kuifananisha na bangi yeyote inayotoka tanzania,mimi nanunua bangi kwa marasta og wanaolima kwenye mashamba yao ya nyumbani,huwa nanunua ndoo ndogo ikiwa imetoka kukaushwa,ambayo ni pure haijawekwa kwenye kaki,hiyo bangi nawauziaga wazungu wanaipenda sana,naisokota bangi kwa mikono yangu,huwezi ona weusi kwenye mikono yangu wala midomo yangu,navuta bangi kila baada ya masaa 3 tena bangi kubwa sio hizo bangi kama kijiti,nachukua rizila 4 naunganisha pamoja
Utakua unapenda sana Ndumu..

Tupo pamoja.
 
mateja wana kazi kubwa sana ya kukusanya makopo ambayo yangekaa mitaani yangeleta kero kwakua hayaozi na ni uchafu mgumu Sana, na asilimia kubwa mateja ndio waokotaji haswa wa makopo hayo na wanasaidia kazi nyingi sana mitaani kwa dau dogo cha msingi uwe makini unapompa kazi kusiwe na kitu cha kubeba kw a urahisi
Sasa mleta mada hao muhimu wa mateja
 
Utakua unapenda sana Ndumu..

Tupo pamoja.
Bangi kavuta babu yangu mpaka sasa ana miaka 95 anavuta tena anafanya kazi zake zote vinzuri,mimi bangi siwezi kuacha pombe sinywi kabisa sijawahi kuweka alcohol mdomoni mwangu wala cigarette, sifagilii wanawake sana mimi bangi ndo kiburudisho changu,bangi haina madhara kama ingekuwa na madhara ingeshamfanya baba yangu ma babu kuwa machizi,babu anavuta bangi masaa 24,mda wote bangi ipo mdomoi alafu haziimi,anasikiliza reggae na kusoma vitabu sana,madini mengi ananipa babu kasomee saikilojia,sema alifungua kampuni yake ya utalii ambayo baba ndo anasimami sasa
 
Hata akili huna unafikria hao wazunguw anavuta kama nyie njaa wanakati wanaenda ifanyia processing nje ndo wanavuta ....unajitambua 😂😂Kweli hata mashamba makubwa ya bhangi wateja ni wazungu .


Kwa nn wenzenu Wana maviwanda na wasiwe wanavuta kilocal kama nyie👉👉Kaa chini ujiulize bhangi inafanyiwa baadhi ya process kabla ya kutumika ile kijanja zaidi ila sio nyie kwamba bhangi ilikuwa processed vizuri hamna uwezo wa kununua nyie.


Mnavuta makapi ndo maana wengi vichaa na kutukana ovyo.
Bangi tena hata leo nimevuta na wazungu anachukua anaroll mwenyewe,wapo simple sana
 
Bangi kavuta babu yangu mpaka sasa ana miaka 95 anavuta tena anafanya kazi zake zote vinzuri,mimi bangi siwezi kuacha pombe sinywi kabisa sijawahi kuweka alcohol mdomoni mwangu wala cigarette, sifagilii wanawake sana mimi bangi ndo kiburudisho changu,bangi haina madhara kama ingekuwa na madhara ingeshamfanya baba yangu ma babu kuwa machizi,babu anavuta bangi masaa 24,mda wote bangi ipo mdomoi alafu haziimi,anasikiliza reggae na kusoma vitabu sana,madini mengi ananipa babu kasomee saikilojia,sema alifungua kampuni yake ya utalii ambayo baba ndo anasimami sasa
Safi sana , kaya naielewa sana.

Hapa tu nimekiwasha.
 
Ndo maana unaandika pumba 😂😂😂na yule mwenzio
images.jpeg
images.jpeg
 
Unajua nn tunaongea hapa?

Sasa Rudi zipo bhangi zipo packaged na Zina vipimo kamili na wamepunguza kilevi kutoa Yale matumba ,sio nyie mnasaga na mikono imekuwa meusi kama miguu ya kunguru ...kwamba mko kilocal sana mpaka wengine wanakuwa vichaaa wanaongea tu mtaani.

Hata kama ni dawa zimechanganywa ziko na ingredients yenye vipimo na kisomi zaidi sio mambo yenu ya bush.
Ziko wapi mkuu?
 
Acha umbea,kwani kwa hapa Tanzania arusha pekee ndo wanavuta hizo bangi??mbona mateja kibao wamejazana dar kwani hao mateja wanasaidia taifa kitu gani??au hujui kuwa mateja wakikosa madawa wanafirwa,hilo umelifumbia macho??au vIjana wanaokunywa pombe kali huko mikoani wanaisaidia nini taifa??kuna mbunge alisema bangi hiararishwe kwani katokea arusha??Acha chuki za binafisi kwa arusha,hii tabia inaanza kuleta ukabila sasa tusipokuwa makini tunaenda kuwa kama kenya au wengine huko,mleta mada uwe unafanya research kabila ya kuandika utumbo wako wewe unaona arusha ndo wana vuta bangi sana??Acha umama wewe
Umetumia nguvu nying san kueleza si ajabu ukawa miongoni mwa users.,

Kitu tusichokijua ni kuwa hakuna ubaya wowote wa bangi..sigara ina madhara lakini si bangi. Nisawa nawew unaekunywa soda yenye vijiko8 vya sukari na ukamsikitikia anaekunywa beer🍺

Nanukuu: You hate wid because you don't know about it #Wiz khalifa
 
Bangi imekuwa na athari Arusha vijana mnajihusisha na biashara tajwa pia ni waathirika wa bangi, NGUVU KAZI INAPOTEA huku Viongozi wanaangalia. Uhalifu Arusha ni kiashiria kuwa Bangi ndo chanzo.
NB: Baadhi ya wavutaji bangi mnajihusisha na mapenzi kinyume na maumbile bila kinga, Ni janga la kumaliza kizazi
Astaqaffilallah
 
Back
Top Bottom