Cheche Mtungi
JF-Expert Member
- Nov 14, 2010
- 2,619
- 771
dini yako inaruhusu hii??umekuaje leo...Nashangaa sana Tanzania uchumi tunao tunaukalia. Kwanini na hapa bangi haihalalishwi?
dini yako inaruhusu hii??umekuaje leo...
nashangaa sana tanzania uchumi tunao tunaukalia. kwanini na hapa bangi haihalalishwi?
dini yako inaruhusu hii??umekuaje leo...
angalia unavyojichanganyadini yangu inakataza chochote chenye madhara. Hata pombe zinakatazwa kwa dini yangu, mbona viwanda vimejaa na pombe zinauzwa na kunywewa kila pembe ya nchi?
Mimi nnatumia bangi si kwa kulewa na nnatumia "alcohol" si kwa kulewa,a usiingize mambo ya dini hpa.
serikali ina dini?
angalia unavyojichanganya
ww ni mtetezi mzuri sn wa dini yako...nashangaa leo unauliza kwa nn tanzania bangi haihalalishwi???Wewe ulete mambo ya dini, nikujibu, halafu wewe ndio useme mimi najichanganya? umevuta bangi?
ww ni mtetezi mzuri sn wa dini yako...nashangaa leo unauliza kwa nn tanzania bangi haihalalishwi???
ok nshapata jibu.....asanteNikakwambia pia mbona bangi hata mimi nnaitumia (lakini si kwa madhara) au kwa kulewa.
Nini ambacho hukielewi?
Nashangaa sana Tanzania uchumi tunao tunaukalia. Kwanini na hapa bangi haihalalishwi?
1. Kwasababu madhara yake ni makubwa kuliko manufaa.
2. Tuna njia nyingi na nzuri zaidi za kukuza pato lentu bla kutumia bangi.
Wengine wenye mtazamo kama wangu wataongezea.
Swali la kizushi: Wewe unatumia???
Nashangaa sana Tanzania uchumi tunao tunaukalia. Kwanini na hapa bangi haihalalishwi?