Bangi inavutwa hadharani Morogoro

delusions

JF-Expert Member
Jan 11, 2013
5,003
1,278
Siamini pua zangu nimewasogelea jamaa hapa club ya wazi njia ya kilakala wanavuta na kulipuliza hadharani dahhh polisi mje Muwakamate
 
Polisi gani?nchi haina polisi hii wako busy kufanya mazoezi ya kupiga watu
 
Unasema Morogoro KM 200 kutoka Makao Makuu ya Polisi? hebu nenda mwembe yanga uone hadhara ya wavuta bange kila siku jioni, tena wanaangaliana na kituo cha polisi
 
Unasema Morogoro KM 200 kutoka Makao Makuu ya Polisi? hebu nenda mwembe yanga uone hadhara ya wavuta bange kila siku jioni, tena wanaangaliana na kituo cha polisi

Mkuu usemacho ndiyo ukweli pale ndani
ya Uwanja watu wanavuta tena Polisi tele


Maana kuna utitili wa wavuta bangi sana
Polisi wao maandamano tu ama maagizo
ya Mkulu wa Kaya huwa wako haraka.
 
Serikali imeuzwa hii, hakuna anayejali kabisa, kuna siku utakuta teja anavuta bangi ikulu na hakuna anayechukua hatua
 
Siamini pua zangu nimewasogelea jamaa hapa club ya wazi njia ya kilakala wanavuta na kulipuliza hadharani dahhh polisi mje Muwakamate
Kawashtaki TRA walipe kodi, police wamewashindwa hao kabla na baada ya uhuru hadi leo wameshindwa kukomesha hilo tatizo, sa hivi nikimkuta mtu anavuta bangi au kunywa gongo nampeleka TRA wachukue kodi yao.
 
Siamini pua zangu nimewasogelea jamaa hapa club ya wazi njia ya kilakala wanavuta na kulipuliza hadharani dahhh polisi mje Muwakamate
Mbona sehemu nyingi tu?? acha bangi vituo vya kuuzia unga mbona vipo wazi na watu wanaingia na kutoka lakini kimyaa ndiyo waje kwa mvuta bangi?
 
bangi. a.k.a,mmea,a.k.a,ganja,a.k.a,majani,a.k.a,msuba,a.k.a,nyanya,a.k.a,dawa,a.k.a,candy(kwa mujibu wa tupac),a.k.a ............cjui mengine
.
 
Back
Top Bottom