mim naona wengi wana crash hii mada na hii ni kwasababu ya ukoloni mambo leo, kama bangi inge halalishwa sidhani kama soko la sigara linge kua sasa ili wa linde maslahi yao binafsi wameona ni heri walete propaganda juu ya bangi ili wasizidiwe soko. kama ni kuchizika nahisi jamii ya WAHADZABE wangekua taabani sasa na uhalifu pia wange kuwa wanaongoza kwakua wao hutumia bangi saana....
"emancipate your self from mental slavery coz non but your self can free your mind"...
naiunga mkono hoja 100%
"emancipate your self from mental slavery coz non but your self can free your mind"...
naiunga mkono hoja 100%