Bangi ihalalishwe

Bangi ihalalishwe

Bangi inasemwa tu vibaya lakini is very good kwa kweli, mi mwenyewe kabla sijaingia kuwapiga lecture vijana huwa lazima nipulize japo twenty minutes earlier...

Kwa matokeo ya 2012 sishangai!

Jamani ile tume ya waziri mkuu ilichemka kumbe source ni wanafunzi kufundishwa na wavuta bange!

Mimi ndio maana sipendi walimu na askari wote ni wavuta bangi ndio maana walifeli kama ROMA alivyosema "KIMBILIO LA WALIOFELI(WAVUTA BANGE)NI UALIMU NA UPOLISI"
 
Mi mi mwenyewe nikitaka nipige mzigo vizur nikiwa kwenye 5/6, huwa napitia hii kitu kwanza huwa hakuna kulala, yaani bandika bandua!

"hiyo mibange mnayovuta ni stimu za kulanduka,
kama siyo fani yako kwakweli utaumbuka"
Juma nature.
 
Kidole007 kwa kweli umeitetea "thesis" yako kwa nguvu zote. Ikiwa mtu huwa tayari kuuza hata nyumba ili apate hiyo nicotine si haba kuitetea kiasi hicho.

braza kweli una ufahamu mdogo kuhusu bangi
bangi haina nicotine ila ina compound inayoitwa tetrahydrocannabinol (THC) ambayo ni dawa na ndio iko responsibe na feeling ya kuwa high
 
Mimi na wenzangu shuleni tulifaulu kwa kuvuta bangi unavuta kwa malengo na kuweka nia hata wasipohalalisha inavutwa tu kwa siye wastaarabu na bei yake kila mmoja anaimudu
 
Mimi pia naunga mkono harakati za kuihalalisha bhange, of coz na gomba na gongo. Maana jitihada za kinafiki za kuzuia zimeishia kuwa chaka la polisi kuvuna hela na kunyanyasa raia wema. Pombe na sigara ni vitu halali lakini husababisha mamia ya watu kufa kila mwaka, sijui tulirithi vipi hizi sheria, na je tulifanya tafiti zetu kujua kipi haramu na kipi halali kabla ya kuharamisha na kuhalalisha?

Tupambane watu wapate haki zao jamani.
 
Halafu serikali itaongeza mapato yake kwa kodi kwenye mauzo ya hii weed
 
Mimi pia naunga mkono harakati za kuihalalisha bhange, of koz na gomba na gongo. Maana jitihada za kinafki za kuzuia zimeishia kuwa chaka la polisi kuvuna hela na kunyanyasa raia wema. Pobe na sigara ni vitu halali lakini husababisha mamia ya watu kufa kila mwaka, sijui tulirithi vipi hizi sheria, na je tulifanya tafiti zetu kujua kipi haramu na kipi halali kabla ya kuharamisha na kuhalalisha?

Tupambane watu wapate haki zao jamani.

Wewe unasema pombe, ushoga uko mbioni kuhalalishwa ila kwa bangi hawataki sielewi
 
Mimi pia naunga mkono harakati za kuihalalisha bhange, of koz na gomba na gongo. Maana jitihada za kinafki za kuzuia zimeishia kuwa chaka la polisi kuvuna hela na kunyanyasa raia wema. Pobe na sigara ni vitu halali lakini husababisha mamia ya watu kufa kila mwaka, sijui tulirithi vipi hizi sheria, na je tulifanya tafiti zetu kujua kipi haramu na kipi halali kabla ya kuharamisha na kuhalalisha?
Tupambane watu wapate haki zao jamani.

comment nzuri,kiukweli nimeipenda
 
Mimi na wenzangu shuleni tulifaulu kwa kuvuta bangi unavuta kwa malengo na kuweka nia hata wasipohalalisha inavutwa tu kwa siye wastaarabu na bei yake kila mmoja anaimudu

acha uwongo,hakuna aliyefaulu kwa bangi bwana
 
Weed is good.....Tangu nianze nikiwa University hadi sasa sioni madhara yake....mwenye kupinga kua ina madhara kiafya na kiakili aweke hapa Jf....otherwise watu wanafanya prejudice against weed.

hakuna wa kuthibitisha hilo hapa
 
Bangi kwangu ni sehemu ya ibada yangu,

Kitendo cha kuzuia bangi ni kuminya haki yangu ya kuabudu ambayo ni haki yangu kikatiba,

Dini yangu ya Rasta Fari inaniambia kuwa bangi ni sawa na sakramenti kwa wakristu!

Niliwahi kuandika hapa
 
Weed is good.....Tangu nianze nikiwa University hadi sasa sioni madhara yake....mwenye kupinga kua ina madhara kiafya na kiakili aweke hapa Jf....otherwise watu wanafanya prejudice against weed.

Uliharibikiwa ukubwani mkuu
 
Bangi kwangu ni sehemu ya ibada yangu,

Kitendo cha kuzuia bangi ni kuminya haki yangu ya kuabudu ambayo ni haki yangu kikatiba,

Dini yangu ya Rasta Fari inaniambia kuwa bangi ni sawa na sakramenti kwa wakristu!

Niliwahi kuandika hapa

hata michango yako hapa JF pia imekaa kibangebange
 
kidole007,
Bangi na Gongo ni Marufuku Tokea mwaka 1961 lakini takwimu za watumiaji hazijawahi kupungua zaidi ya kuongezeka zaidi hivyo Bangi ni Kama ni Ruksa kwani kuna sehemu vijana wanavuta Bangi bila kificho
 
Back
Top Bottom