Bando la chuo vipi?

Bando la chuo vipi?

Mr Global

Senior Member
Joined
Nov 9, 2013
Posts
150
Reaction score
125
Habar wanajamvi, hivi hawa wenye mitandao ya simu mbona siwaelewi leo nimeweka buku jero ili nijiunge university offer ya wiki nilichokutana nacho sikuamin. Kwa wiki 10 mb wakati zilikuwa 500mb au ndio mnataka kufidia ile mipesa mliokatwa na TCRA...
 
Tigo wiki hii wepunguza kifurushi cha chuo...Yani kimekua cha ovyooo
 
Sio kweli pata ushaur wa do santos hapo juuu, tena ni 1GB sasa.
Acha ubishi mkuu..kwa menu ya *148*00# -1 kuna ofa nyingine but sio kama za chuo
Kwa menu ya *148*01*20# kifurushi cha wiki 1500 now wanatoa dk.100,sms 100 na Mb 100 wamepunguza kutoka dk500,msg 5000 na 500mb
Nipo tayari kurekebishwa
 
kwangu inakuja hvyo
 

Attachments

  • 1458210753936.jpg
    1458210753936.jpg
    17.2 KB · Views: 59
Hii ni ofa maalum kwa watu maalum tena sasa hivi unapata 1gb. Sio watu wote kwenye menu yao wataona university offer. Kuwa mvumilivu jiunge vifurushi vingine. Sasa hivi mimi najiunga nikiwa sehemu yoyote.
 
hiv ule usajili wa kwenye gazebo hupo hadi sasa wakuuu au ndio bas tena
 
kuanzia Kesho Tar15/March vifurushi vya chuo kupitia *148*02*20# vitabadilika. Kuendelea kupata vifurushi ulivyovizoea piga *148*00# chagua OFA MAALUM, UNI OFA,hiyo ndo ujumbe ulotumwa na tigo
 
we kama hujasajiliwa na tigo imekula kwako utapata mb 10 mpaka ukome sisi haaa ni mwendo wa gb 1 tu
 
halafu watu ambao sio wanachuo ndo wanalalamika atii. ushaambiwa ni offer kwa wanafunzi uko mtaani jiunge vifurushi vinavyokuhusu
 
Nashangaa MTU sio mwananfunz alaf analalamika eti TCRA kama unataka bundle si urudi chuo ili ujiunge wewe tafuta ata certificate CBE!!!!HAHAHAHAHA
 
Acha ubishi mkuu..kwa menu ya *148*00# -1 kuna ofa nyingine but sio kama za chuo
Kwa menu ya *148*01*20# kifurushi cha wiki 1500 now wanatoa dk.100,sms 100 na Mb 100 wamepunguza kutoka dk500,msg 5000 na 500mb
Nipo tayari kurekebishwa
 
Back
Top Bottom