Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,648
Wasengerema hawaUnajisajili kwa ID ya chuo husika .... ukimaliza chuo usajili unaexpire....saiv wako strictly kwa wanachuo tu.
Wasengerema hawaUnajisajili kwa ID ya chuo husika .... ukimaliza chuo usajili unaexpire....saiv wako strictly kwa wanachuo tu.
Halotel hawana issue na wenyewe gharama ni zile zile labda kwa kifurushi cha Chuo ndio sifaham ukijunga unapata mb ngapi? Lakini kwa matumizi ya kawaida hamna kituJamani sio lazima kuwa tigo. Karibuni halotel. Huku ni mb za kumwaga
upo sehemu gan kama ni kwa DSM internet tigo wako vizuri sana tena sana hata ukiwa na Simu ya 3GTigo kwanza internet yao ya hovyo niliwahi kujiunga na Chuo offer kwa wiki nzima internet IPO slow tena kwa line yao ya 4G nikaona upuuzi bora airtel unatumia gharama lakini unapata huduma bora voda ndio hawafai kabisa mb zao zinaenda haraka kuliko second za saa
Mkuu.kuna uwezekano wa kujiunga kifurushi cha chuo kwa line ya 4Gupo sehemu gan kama ni kwa DSM internet tigo wako vizuri sana tena sana hata ukiwa na Simu ya 3G
sometyme tuache unafiki jamani
kwamm kwa dsm kwa internet 4g nazikubali kampuni tatu kwaza ni SMILE pili TTCL na tatu ni TIGO kwakuwa smile vifurush vipo juu sana nasi mbadala kwangu ni tigo hasa kwz bundle la chuo now 1gb kwa wiki araf ni full speed
Tatizo mtandao wao kila mara ni no service. Yaani haipiti Dakika 10. Hadi inakeraupo sehemu gan kama ni kwa DSM internet tigo wako vizuri sana tena sana hata ukiwa na Simu ya 3G
sometyme tuache unafiki jamani
kwamm kwa dsm kwa internet 4g nazikubali kampuni tatu kwaza ni SMILE pili TTCL na tatu ni TIGO kwakuwa smile vifurush vipo juu sana nasi mbadala kwangu ni tigo hasa kwz bundle la chuo now 1gb kwa wiki araf ni full speed
Simu yako hyo usiwasingizie tigoTatizo mtandao wao kila mara ni no service. Yaani haipiti Dakika 10. Hadi inakera
si kweri lbda upo eneo ambalo halina au simu yako inasumbuaTatizo mtandao wao kila mara ni no service. Yaani haipiti Dakika 10. Hadi inakera
ndiyo inawezekana lkn kupata gb 1 na dkk 130 kujiunga popote pale ni kwa watu maalumu tu ndo unapata hiyo menuMkuu.kuna uwezekano wa kujiunga kifurushi cha chuo kwa line ya 4G
Ni kweli. Tena sio simu yangu tu. Ni watu wote wanaotumia mtandao wa tigo. Wengine walikua wanadhani simu zao mbovu. Mm nimelijua hili tatizo kwakua ni mtu wa kubonyeza sana. Huwezi kuliona kama unasubiri upigiwe au meseji iingiesi kweri lbda upo eneo ambalo halina au simu yako inasumbua
ndiyo inawezekana lkn kupata gb 1 na dkk 130 kujiunga popote pale ni kwa watu maalumu tu ndo unapata hiyo menu
mtandao gan na unajiunga vpMm nap at a gb3 kwa 1000 wiki nzima