Wewe kenge kaa kimya!! Kama hujui kazi alizofanya Kikwette. Mnamuabudu huyo marehemu kwa vile aliwajaza uwongoKwani jk mwenyewe kilimshinda nini kuijenga kwa miaka 10 aliyokaa madarakani?kati ya jk na magufuri aliekaa madarakani miaka 5.5 nani kafanya makubwa ambayo kamwe yatachukua hata miaka 30 kufanywa na wengine
Sasa ntamuwezea wapi mtu aliesoma bachelor degree in kiswahiliKajifunze MEMKWA kuandika kwanza kabla hujaanza kubishana na wenye akili wa JF. Hakuna neno "kimekamirika", bali kuna "kimekamilika"
Tunabishana na watu mbumbumbu sana humu
Taja hapa Kila mtu ataje zake.Wewe kenge kaa kimya!! Kama hujui kazi alizofanya Kikwette. Mnamuabudu huyo marehemu kwa vile aliwajaza uwongo
Makusanyo ya TRA kwa kipindi ch nusuBANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Lakini number bado zinaibebaBANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Lakini number bado zinaing'arisha bandari yetu kama 40% ya makusanyo ya TRA yanatokana na bandari na kwa mujibu wa Kamishna mkuu wa TRA makusanyo kwa mwezi Desemba 2024 yameongezeka kwa 9.2% kutoka 2.79 tril mwaka wa fedha 2022/2023 na kufika 3.05 tril mwaka wa fedha 2023/2024. Makusanyo kwa nusu mwaka 2023/2024 yameongezeka 11.5% ukilinganisha na mwaka wa fedha 2022/2023 kutoka 12.49 tril mpaka 13.92 tril kwa mwaka wa fedha 2023/2024. Bila shaka kama kusingekuwa na ufanisi katika bandari TRA wasingefika hapo. Nimekuelewa sana.BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Wewe ndio hujaelewa swala la Lobito na improvement ya bandari yetu ni vitu viwili tofuti. Bandari wanafanya improvement kila siku na hawawezi kuacha kufanya improvement kama taasisi. Mfano kuna improvement kwenye security n.k.. we unataka improvement kwenye lipi kwa mfano.Hujaelewa hoja ya Huihui2 kuhusu Lobito. Ameiweka hapo Lobito kuonyesha hatari inayotukabili kama hatuta fanya improvement ya operations zetu pale TPA
VIzuri kumbe umenielewa kuhusiana na Lobito Corridor. Mifumo siyo ishu. Tatizo ni uzezeta kwamba mkipita kwenye daladala pale salenda bridge mkiona meli baharini msema kuna shida bandarini bila data, bila taarifa, mnapiga ramli tu. Tuache ujuaji kwa tusilolijua. Tufurahie urithiwetu, mali yetu watanzania. Mameli yaje yakiwashinda bandari kuyapakua tutakwenda sisi wazalendo tutapakua hata kwa mikono yetu.Ifanyeni mifumo isomane!! Jibu kama hilo ni la kijinga na kipumbavu kwa mteja wa DRC au Zambia. Kwani TRA na TBS ziko nchi gani?
Makusanyo ya TRA kwa kipindi ch nusuBANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Lakini number bado zinaibebaBANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Lakini number bado zinaing'arisha bandari yetu kama 40% ya makusanyo ya TRA yanatokana na bandari na kwa mujibu wa Kamishna mkuu wa TRA makusanyo kwa mwezi Desemba 2024 yameongezeka kwa 9.2% kutoka 2.79 tril mwaka wa fedha 2022/2023 na kufika 3.05 tril mwaka wa fedha 2023/2024. Makusanyo kwa nusu mwaka 2023/2024 yameongezeka 11.5% ukilinganisha na mwaka wa fedha 2022/2023 kutoka 12.49 tril mpaka 13.92 tril kwa mwaka wa fedha 2023/2024. Bila shaka kama kusingekuwa na ufanisi katika bandari TRA wasingefika hapoBANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Lobito corridor my foot.BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Watanzania mna ujinga Sana sijui ni madhara ya elimu tunayopata hadi tunashindwa kutafuta taarifa.Taja hapa Kila mtu ataje zake.
Kama huwezi kuona tushio la bandari ya Lobito kwa bandari ya Dar basi wewe ni myopic. Tuna vijana wajinga sana kama taifa. Halafu unawezakuta wewe ni mfanyakazi wa TPA au wizara ya uchukuzi. Uko hapa unakaza fuvu kutetea MEDIOCRITY hapa.Wewe ndio hujaelewa swala la Lobito na improvement ya bandari yetu ni vitu viwili tofuti. Bandari wanafanya improvement kila siku na hawawezi kuacha kufanya improvement kama taasisi. Mfano kuna improvement kwenye security n.k.. we unataka improvement kwenye lipi kwa mfano.
👇👇👇👇
ZAmbia, DRC na Angola haziwezi kuacha kuupigia chapuo huu mradi hapo kuna zaidi $16 bil. Unazungumzia ujenzi wa reli, barabara, airports n.k lakini ukweli ni kwamba biashara ya Lobito ni soko la Ulaya na Marekani ni shortest route. Vilevile ni kutunishiana misuli kwa asili ya Wamarekeni na China ni siasa za kimkakati kati ya China na Marekani.
-> Lobito haina mahusiano na ufanisi wa bandari yetu, Lobito ni mkakati wa wababe wenyewe.
Kama wewe umezaliwa baada ya 2000 nitakubaliana na mawazo yako kwa kuwa utakuwa ulianza kupata ufahamu ukiwa na miaka 10, yaani mwaka 2010.Kwani jk mwenyewe kilimshinda nini kuijenga kwa miaka 10 aliyokaa madarakani?kati ya jk na magufuri aliekaa madarakani miaka 5.5 nani kafanya makubwa ambayo kamwe yatachukua hata miaka 30 kufanywa na wengine
Tishio lipi? Kwani bandari ipo moja tu kusini mwa Afrika? Huna facts unalalama tu, Lobito corridor ni mradi wa wamarekani wakati 80% ya copper mines ya DRC ni ya Wachina (ASIA), shortest root ya Asia ni bahari ya Indi. Kwahiyo Mchina azunguke atlantiki, aje bahari ya Indi aende Uchina siatakuwa kichaa. Lugha ya bandari ya Dar ni faida tu shortest root means faida.Kama huwezi kuona tushio la bandari ya Lobito kwa bandari ya Dar basi wewe ni myopic. Tuna vijana wajinga sana kama taifa. Halafu unawezakuta wewe ni mfanyakazi wa TPA au wizara ya uchukuzi. Uko hapa unakaza fuvu kutetea MEDIOCRITY hapa.
Kutunishiana misuli ndiyo nini? Biashara haina uhasama, lugha yake ni moja tu FAIDA
Umeongea point na PumbaKama wewe umezaliwa baada ya 2000 nitakubaliana na mawazo yako kwa kuwa utakuwa ulianza kupata ufahamu ukiwa na miaka 10, yaani mwaka 2010.
Unachoelewa ni kile ulichokikuta na ndiyo maana unamuona yule pimbi wa Chato kama alifanya kazi ? Kwani hii Tanzania unayoiona imeanza mwaka 2015? Chukua muda na tumia akili "kama unazo" ili ujuwe kuanzia Nyerere 1961-85 nini kilifanyika. Angalia barabara za kuanzia Dar- Tunduma, TAZARA na uanzishaji mashirika ya umma zaidi ya 400 huku kuna umoja wa kitaifa na elimu bure. Nenda kamuangalie AH Mwinyi 1985-1995 uone alifanya nini kwenye kuleta soko huria, barabara za njia 2 Dar es Salaam na barabara za Arusha Segera
Halafu njoo kwa BW Mkapa uone Baba wa uchumi na miundombinu namna alivyoteremsha deni la taifa. Yeye ndiye aliyehakikisha barabara ya Kahama-Nzega- Singida-Dodoma inakamilika ili Watanzania wa Kagera wasipite Uganda na Kenya wanapokwenda makwao
Mwishowe njoo kwa JKikwete uone alivyomailizia kuunganisha mikoa yote kwa barabara za lami kasoro Tabora - Mbeya.
Hawa watangulizi walifanya mengi kuliko hayo ila hawakuwa watu wa masifa kwa sababu walijuwa ndiyo kazi yao.
Nyinyi wajinga mumeingia mtego wa propaganda zake kwa kuwa hamkuwa na akili ya kutafuta taarifa. Kujenga daraja au kununua ndege isiwe excuse ya kuua watu bila sababu
Mwaka 2022 Zambia walizalisha dhahabu zaidi ya tonnes 800k, zilizopita Dar es Salaam ni tonnes 198k tu. Zingine zingine zilipita Beira, Walvis Bay na Durban.Tishio lipi? Kwani bandari ipo moja tu kusini mwa Afrika? Huna facts unalalama tu, Lobito corridor ni mradi wa wamarekani wakati 80% ya copper mines ya DRC ni ya Wachina (ASIA), shortest root ya Asia ni bahari ya Indi. Kwahiyo Mchina azunguke atlantiki, aje bahari ya Indi aende Uchina siatakuwa kichaa. Lugha ya bandari ya Dar ni faida tu shortest root means faida.
Dhahabu???? Mzigo wa soko la west hakuna namna lazima upite hiyo njia huwezi kukwepa huo ukweli. Huwezi pitisha mzigo wa zambia kwenda marekani/ulaya bahari ya hindi yaani uongeze urefu wa safari maana yake uongeze gharama si kweli. Bandari yetu inafanya vizuri, kazi zinafanywa masaa 24 katika siku saba za wiki.Mwaka 2022 Zambia walizalisha dhahabu zaidi ya tonnes 800k, zilizopita Dar es Salaam ni tonnes 198k tu. Zingine zingine zilipita Beira, Walvis Bay na Durban.
Usijikite sana kwenye Lobito kwa vile reli ilikuwa abndoned na inakarabatiwa baada ya kufungwa kipindi cha vita vya Savimbi.
Suala langu ni kwamba tungekuwa na EDFFICIENCY kwenye Dar Port pengine 80% ya mzigo wa copper ya Zambia ungepita Dar tofauti na sasa ambapo tunaambulia 25% tu
Hongereni TPA kwa kufanya kazi 24/7BANDARI YA DSM NA CHANGAMOTO ZA MAFANIKIO
Na. Shaibu Sufiani
- Ni baada ya ukamilishaji wa mradi wa DMGP, uimarishaji wa mifumo na utekelezaji wa maelekezo na matamanio ya Rais Dkt. Samia katika mapinduzi ya Bandari
- Sasa meli zinamiminika kila siku, wateja wameongezeka, mapato juu, mfungamano wa ajira umeimarika
- Imevutia uwekezaji wa makampuni makubwa ya kimataifa ikiwemo DP WORLD, COSCO, APM, na nyinginezo
Unaposikia Meli zimekaa foleni zinasubiri kuingia bandari ya Dar es salaam usilalamike, shangilia kwani huo ni Uchumi wa Taifa unaimarika
Unapopita kandoni mwa Bahari ya hindi ukaona meli 10 au zaidi zimepanga foleni zinasubiri kuingia mshukuru Mungu mwambie Alhamdullilah uwekezaji wa maboresho ya bandari ya Dar es salaam umelipa na sasa wateja wengi wameongezeka maradufu
IKO HIVI
Kama ambavyo wamiliki wa nyumba za kulala wageni wanavyojisikia pale vyumba vinapojaa na huku wateja wakiendelea kuulizia vyumba, au washabiki wa mpira wanapofurika uwanja wa mpira kushangilia timu yao hadi kukosa viti, ama waumini wa dini wanapokwenda katika nyumba za ibada na kukuta nafasi zimejaa na ili wahudumiwe ni lazima kwanza wahudumiwe wenzao wenzao ndipo wao pia wahudumiwe,
Hivyo ndivyo ilivyo Babdari ya Dar es salaam kwa sasa, kwa miezi kadhaa mfululizo kuanzia mwezi wa 10 hadi hii Januri, MAGATI yote 12 ya Bandari hiyo kila siku kila saa yanakuwa yamejaa meli zikishusha na kupakia aina mbambaku za shehena kama vile Magari, Mizigo mchanganyiko, mbolea, makasha(Contena), Mafuta nakadharika, huku idadi kubwa ya meli ikiendelea kusubiri wenzao wamalize kushusha mizigo ili wao pia waingia
Inawezekana mtu wa kawaida akaona ni makusudi, au akaona kuna uzembe au kuna njama au namna yoyote navyoweza kuhisi yeye, lakini ukweli ni kwamba hakuna uwekezaji usiokuwa na matunda Chanya
Uwekezaji wa Tanzania katika uboreshaji wa Badari ya Dar kupitia mradi wa DMGP ulikuwa na lengo mahsusi kuhusiana na kuboresha miundombinu ili bandari iweze kuleta tija zaidi kwa Taifa katika kutoa huduma za kibandari
Fuatana nami hapa ili kufahamu kila kitu kuhusiana na uwekezaji huo mkubwa kuwahi kufanyika nchini
HALI YA BANDARI ZETU ZIKOJE
View attachment 2875557
Tunaarifiwa kuwa kabla ya mwaka 2015 hali ya bandari zetu hasa bandari tegemeo ya Dar es salaam haikuwa na uwezo mkubwa wa kiushindani ambapo meli zilizokuwa zinakuja ni ndogo kwa sababu ya kina huku Meli za Magari zikiwa zinahudumiwa katika eneo la mizigo mchanganyiko (General Cargo), na hazikuwa nyingi, ambapo pia hakukuwa na mpangilio wa maeneo ya kufanyia kazi kulingana na aina za mizigo huku Vifaai vya kuhudumia meli vikiwa duni, Magati yalikuwa na kina kifupi (chini ya mita 9) kiasi cha makusanyo ya mapato kutokuwa makubwa kutokana na uchache wa shehena iliyokuwa inahudumiwa kulingana na soko, Kwa ujumla UFANISI ulikuwa DUNI,
NINI KILIFANYIKA
Kutokana nachangamoto hizo, Serikali kwa kushirikiana na Mamlaka ya usimamizi wa Bandari nchini (TPA) iliamua kutafuta fedha ili kufanya maboresho ya Bandari (DMGP-mpango ulioanza kutafuta fedha miaka ya 2011 hadi 2016 uliposainiwa mkataba wa maboresho ya bandari)
DMGP NI NINI
Dar es Salaam Maritime Gateway Project (Mradi wa maboresho ya Bandari ya Dar es salaam) Uchambuzi, upembuzi na utafiti 2010 kwa serikali kutafuta pesa hadi mkataba uliposainiwa na mradi kuanza kazi 2016/2017
View attachment 2875560
MAENEO YA MRADI WA MABORESHO YA BANDARI YA DSM
UJENZI WA MAGATI
- Gati jipya la Magari (RO-RO) na Yard yake limejengwa ukubwa wa Gati ni mita 300 Ukubwa wa YARD ni mita za mraba 72,000 lenye uwezo wa kutunza magari zaidi ya 6000 kwa wakati mmoja
2.UIMARISHWAJI GATI ZILIZOKUWEPO
Katika magati yaliyokuwepo, Magati 7 yameimarishwa, Gati namba 1 hadi 7 ziliimarishwa kwa kuongezewa kingo ya urefu wa mita 15 kuelekea baharini, Kumewekwa vikingio vya meli vya kisasa (Fenda), Katika kila Gati zilizoimarishwa maeneo ya kuwekea shehena yameboreshwa, Mifumo ya kuzimia moto,Hydraut,Bankering na taa(Tower lights zimewekwa kuwezesha huduma kutolewa sa 24
NB; gati namba 5 hadi namba 7 zimeimarishiwa yadi yake ya kutunza shehena za makasha zinazoweza kutunza makasha zaidi ya 10,000 kwa wakati mmoja
3 . UONGEZAJI WA KINA – DRAFTING
Kina cha Bahari kilikuwa kidogo kiasi cha meli kubwa au zilizobeba mzigo mkubwa kushindwa kuingia, hivyo mradi ulifanikisha:-
4. MLANGO WA KUGEUZIA MELI
- Uchimbaji wa kina cha Bahari umefanyika kufikia mita 14.5 kutoka chini ya mita 9 za awali kwenye maeneo tofauti tofauti,
- Mwanzoni meli kubwa zenye tani kuanzia 30,000 zilibidi kwanza zikapunguze mzigo gati namba 7 ndio ziweze Kwenda gati nyinginezo
Aidha eneo la kuingilia meli (Entrance channel) halikuwa kubwa hivyo kuleta ugumu wa upitishaji wa meli kuingia na kutoka bandarini ndipo mradi ukafanikisha maboresho pia ya upanuzi wa mlango wa kuingiza meli na Kuboresha eneo la kugeuza meli – Turning Base
MATOKEO YA MABORESHO
Kukamilika kwa maboresho haya kumeleta matokoe makubwa ambayo kwa kiasi kingine matokeo hayo yanageuka kuwa changamoto. Hata hivyo changamoto hizi za kimafanikio hazipaswi kuwafanya wadau wa maendeleo na wadau watumiaji wa bandari kurudi nyuma na badala yake kusonga mbele kutafuta suluhu bora zaidi katika kufanikisha.
View attachment 2875561
Miongoni mwa matokeo ya moja kwa moja ya maboresho ya mradi wa DMGP ni pamoja na
KUONGEZEKA KWA SHEHENA
Tunaarifiwa kuwa shehena zinazoshuka Bandari ya Dar es Salaam zimeongezeka kutoka chini ta Tani milioni 13 mwaka 2016 hadi zaidi ya tani milioni 21 kwa mwaka 2022/23
Shehena za Shehena za Makasha zimepanda hdi kufikia wastani wa makasha 90,000 kwa mwezi tofauti na awali
Huku Shehena za magari zimeongezeka hadi kufikia wastani wa gari 200,000 kwa mwaka
View attachment 2875562
KUONGEZEKA KWA MAPATO TPA NA TRA
Taarifa zinaonyesha kuwa Makusanyo ya Bandari (Port Charges), yameongezeka hadi kufikia zaidi ya bilioni 106 kila mwezi sawa na wastani wa zaidi ya Trilioni 1.2 kwa mwaka
Vile vile Makusanyo ya Kodi yanayokusanywa na TRA kama forodha kupitia Bandarini yamepanda kufikia 40% ya makusanyo yote ya kila mwezi ya TRA
Maana yake nini, maana yake ni kwamba kwa kadri meli zinavyozidi kuwa nyingi, ndivyo makusanyo yanazidi kuongezeka
KUONGEZEKA KWA IDADI YA MELI
Idadi ya meli zinazoingia Bandarini Dar zimeongezeka maradufu kufikia wastani wa meli 90 kwa mwezi kutoka chini ya meli 60 huko nyuma ambapo kuna nyakati zimewahi kufika zaidi meli 100 katika kipindi cha mwezi mmoja
ONGEZEKO LA WATUMIAJI WA BANDARI
Maboresho pia yamepelekea kuongezeka kwa watumiaji wapya wa bandari mbapo nchi kama Zimbawe zimeongeza kuitumia bandari ya DSM hasa katika usafirishaji wa Magari sambamba na kampuni kadhaa kubwa za meli kuanzisha safari zake kuja Dar es salaam
ONGEZEKO LA AJIRA/FURSA
Maboresho yameongeza mnyororo wa thamani ambapo katika ajira za moja kwa moja na zisizo za moja kwa moja ambapo inakadiriwa zaidi yamakampuni 8000 yanatoa huduma mbalimbali bandarini, Maelfu ya madereva wa malori wamepata ajira, wenye malori nao wameongezeka na wameongeza vipato
Aidha wauzaji bidhaa na huduma kama mama lishe, migahawa, petrol stations, wauza vipuri, wazabuni na wengine wengi wamepata ajira katika bandari ya DSM.
Ni kwa sababu ya maboresho haya ndipo leo tunasikia kuna meli 36 zipo nje zinasubiri kuingia zikingojea meli zilizotangulia katika Gati 12 zilizopo hivi sasa zimalize kuhudumiwa nazo ziingie.
Ni vyema na haki kumpongeza Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa namna bora anavyoitazama sekta ya uchukuzi hasa eneo la bandari katika jicho pan ana bora ambapo hakuna namna hivi sasa uwekezaji mkubwa wa upanuzi ama uongezaji wa magati unahitajika.
View attachment 2875556
View attachment 2875563
Hesabu ya kawaida inaonyesha kuwa kama bandari yote ya Dar ina jumla ya magati 12 (Ukijumlisha na magati ya kushushia mafuta), nak ama kwa wakati mmoja meli zinazoingia nchini kutaka kuhudumiwa ni zaidi ya meli 40, hivyo kwa kila wakati lazima kuwepo na meli zaidi ya 20 zikisubiri wenzake wamalize,
Hii inatokana na ukweli kuwa meli moja ili imalize kuhudumiwa kwa kushuisha na kupandisha mizigo melini huchukua wastani wa siku moja hadi tano kutegemea na aina ya shehena iliyobeba
Tuendelee kuelimishana na kufahamishana juu ya umuhimu wa uwekezaji mkubwa unaohitajika kufanyika katika Bandari zetu huku tukirejea maneno yanayosema Kuongezeka kwa Meli nchini sio dhambi ni neema.
Shaibu Sufiani
Tuwasiliane :- shaibusufiani@gmail.com
Typo error, I meant copper. Ila Hujajibu swali, rudi tena soma na uelewa kisha ujibu hojaDhahabu???? Mzigo wa soko la west hakuna namna lazima upite hiyo njia huwezi kukwepa huo ukweli. Huwezi pitisha mzigo wa zambia kwenda marekani/ulaya bahari ya hindi yaani uongeze urefu wa safari maana yake uongeze gharama si kweli. Bandari yetu inafanya vizuri, kazi zinafanywa masaa 24 katika siku saba za wiki.
Mtoto wa malaya, umezaliwa hujui baba, sanasana mama yako kakurithisha matusi tu ndiyo unayajua. Endelea kutukana kwa vile hakuna tusi jipyaUmeongea point na Pumba
Cha kukuongezea tu nikwamba baada ya mkapa kumteua magufuri kua naibu waziri wa ujenzi,magufuri ndie alipeleka ushauri kwa rais mkapa namna wanaweza kufanya ili kuifungua Tanzania kwa bara bara za lami na huyo huyo akiwa naibu waziri na waziri kamili ndicho kipindi hasa bara bara nyingi za lami kuunganisha mikoa zikawa zinajengwa kwa fujo.Sina takwimu sahihi za kilomita zilizojengwa yeye akiwa msimizi lakini maarifa hayana mwisho ntatafta tu nikupe Kama hutakiKama wewe umezaliwa baada ya 2000 nitakubaliana na mawazo yako kwa kuwa utakuwa ulianza kupata ufahamu ukiwa na miaka 10, yaani mwaka 2010.
Unachoelewa ni kile ulichokikuta na ndiyo maana unamuona yule pimbi wa Chato kama alifanya kazi ? Kwani hii Tanzania unayoiona imeanza mwaka 2015? Chukua muda na tumia akili "kama unazo" ili ujuwe kuanzia Nyerere 1961-85 nini kilifanyika. Angalia barabara za kuanzia Dar- Tunduma, TAZARA na uanzishaji mashirika ya umma zaidi ya 400 huku kuna umoja wa kitaifa na elimu bure. Nenda kamuangalie AH Mwinyi 1985-1995 uone alifanya nini kwenye kuleta soko huria, barabara za njia 2 Dar es Salaam na barabara za Arusha Segera
Halafu njoo kwa BW Mkapa uone Baba wa uchumi na miundombinu namna alivyoteremsha deni la taifa. Yeye ndiye aliyehakikisha barabara ya Kahama-Nzega- Singida-Dodoma inakamilika ili Watanzania wa Kagera wasipite Uganda na Kenya wanapokwenda makwao
Mwishowe njoo kwa JKikwete uone alivyomailizia kuunganisha mikoa yote kwa barabara za lami kasoro Tabora - Mbeya.
Hawa watangulizi walifanya mengi kuliko hayo ila hawakuwa watu wa masifa kwa sababu walijuwa ndiyo kazi yao.
Nyinyi wajinga mumeingia mtego wa propaganda zake kwa kuwa hamkuwa na akili ya kutafuta taarifa. Kujenga daraja au kununua ndege isiwe excuse ya kuua watu bila sababu
popote ulipo upate PEPSI BARIDIIIIIIVIzuri kumbe umenielewa kuhusiana na Lobito Corridor. Mifumo siyo ishu. Tatizo ni uzezeta kwamba mkipita kwenye daladala pale salenda bridge mkiona meli baharini msema kuna shida bandarini bila data, bila taarifa, mnapiga ramli tu. Tuache ujuaji kwa tusilolijua. Tufurahie urithiwetu, mali yetu watanzania. Mameli yaje yakiwashinda bandari kuyapakua tutakwenda sisi wazalendo tutapakua hata kwa mikono yetu.