AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Tuna hasira buddy, uzizidi kututia kichefuchefu
kwa kweli hapa sina baba. nimemsikia mzee Lembeli asubuhi akieleza jinsi wanyama wanavosafirishwa kwenda Karachi kwa Waarabu roho ikaniuma sana. Ukisikia mtu anasema nchi imeuzwa usidhani anapiga porojo. AIBU GANI HII? Tunatenda dhambi kubwa namna hii ya kuuza urithi tuliopewa na Mungu? Waarabu wanatulipa nini? Mbona mafuta yanatoka kwao na bado imebaki bidhaa adimu na ghali? Kwani
We kidawa, mbona upo mbali sana na matukio,kikwete hajui atafuatilia saangapi mafaili ikiwa mda wote yupo angani.ndio maana mawaziri wanajiamualia tu.
Dr. Kupeng'e,
Naona ni mzito wa maamuzi, huu ni wakati wako wa kujiengua Ccm na kujiunga na CDM.
Na kuendeleza harakati za kumkomboa mtanzania na kuijenga upya Tanzania iliyoliwa na
mafisadi wa ccm, :kuhusu bandari kuuzwa je Rais Kikwete katoa baraka?
Hapo kidogo kuna mashaka na bado kitendawili, cha kujiuliza kwa nini waziri mwenye
dhamana amshushie tuhuma naibu wake, kama yeye ndio muhusika wa hayo yote,
JK ni rais wa Tanzania lakini utendaji wake wa kazi bado unamsumbua sana, yaani
umemkalia kushoto zaidi katika utekelezaji wa majukumu kwa wakati unaostahili,
Kwani tusingefika hapa tulipokuwa leo kwenye hali hii ya kutisha katika Taifa letu.
siamini macho yangu, hivi inakuwaje hawa watu nakumbuka waliapa kulitumikia taifa hili kwa uaminifu, huku wengine wakishika vitabu vitakatifu, la!!!!!!!!!!!! kumbe ndio hivi!!!!!!!! SI AJABU SIKU MOJA NITAJIKUTA NAMI BILA KUJUA NIMEUZWA PAMOJA N FAMILIA YANGU