AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,040
Tuna hasira buddy, uzizidi kututia kichefuchefu
sio kukuchefua mkuu, kwani bora hata tungempa hii nchi lusinde ambaye angeweza kuwawadhibisha mawaziri wabovu hata kwa kuwatukana matusi kuliko huyu vasco da gama anayewachekea chekea.