Kama ni broadband issue kidogo ina kuwa complex sababu hutaki password, broadbad wao setting zao comes in automatically, kama ip's , gateway, DNs and proxy but tusisahau broadband is a typical dial up connection where user is identified by his/her account and password, hence restrictions are done basing to those two parameters.
nafikiri mwanao bado mdogo and does not know user account and password kwa hiyo uwe unazitoa. kama anajua waweza kuwa unaremove broadband dial up account kwenye browser whenever you finsh using or tick the option of never dial baada ya kutumia
nafikiri this can help