Acha uchoyo ndugu yangu!WAZUNGU wangetunyima kutumia internet tungefanyaje?
sasa ishu ya wazungu imekujaje hapa ? wewe vipi bwana
hujui wachina sasa hivi wanaandaa standard zao katika mambo ya technologia ? wewe unalilia wazungu paka leo ? wazungu wakina nani ??
Lakini kama kuna technical ways nyingine naombeni