Salaam Salaam!!!!
Naomba kujua sheria inasemaje kwa balozi za nje kununua na kumiliki ardhi nchini?
maana nimeona balozi mbali mbali zimewekeza nchini na kujenga ofisi na makazi,
Mfano sasa serikali imewapa ardhi Dodoma,wanatakiwa kujenga uko Je wanamamlaka ya kuuza hapa Dar na kwenda kuwekeza Dodoma?
Naomba kujua sheria inasemaje kwa balozi za nje kununua na kumiliki ardhi nchini?
maana nimeona balozi mbali mbali zimewekeza nchini na kujenga ofisi na makazi,
Mfano sasa serikali imewapa ardhi Dodoma,wanatakiwa kujenga uko Je wanamamlaka ya kuuza hapa Dar na kwenda kuwekeza Dodoma?